mkirua vunjo
Member
- Nov 11, 2011
- 25
- 5
Jamani wana Arumeru nimesikia kuwa Mzee Mkapa ndio atakuwa kiongozi wa uzinduzi wa kampeni za CCM hapa kwetu Arumeru MAshariki.
Naomba akija ajibu maswali haya
1. Shamba la Madira Estate walilojigawia na Kimaro litarudishwa lini kwa wananchi wa Arumeru wenye ufinyu wa Ardhi.
3. Shamba la Mauwa analomiliki na Mholanzi Jerome na kutoa ajira mbali na wananchi wa Arumeru, Je atatuambia nini sisi wana Arumeru MAshariki.
3. Kwa nini Mashamba ya huyu bwana Jerome hayalipi Service levy
3. Kuna shamba lililoko Tengeru ambaye amekuwa akimiliki na singa singa ammoja lenye ukubwa wa Ekari 3000, Je kwa nini asiwe anatupa tulime mazao ya muda mfupi kwakuwa shamba hilo hukitumia wakati wa kilimo tuu, Na je alijipatiaje hilo shamba huku wana arumeru tukiwa na ufinyu wa Ardhi.
Naomba aanzwe na hayo kwanza
Naomba kuwasilisha
Naomba akija ajibu maswali haya
1. Shamba la Madira Estate walilojigawia na Kimaro litarudishwa lini kwa wananchi wa Arumeru wenye ufinyu wa Ardhi.
3. Shamba la Mauwa analomiliki na Mholanzi Jerome na kutoa ajira mbali na wananchi wa Arumeru, Je atatuambia nini sisi wana Arumeru MAshariki.
3. Kwa nini Mashamba ya huyu bwana Jerome hayalipi Service levy
3. Kuna shamba lililoko Tengeru ambaye amekuwa akimiliki na singa singa ammoja lenye ukubwa wa Ekari 3000, Je kwa nini asiwe anatupa tulime mazao ya muda mfupi kwakuwa shamba hilo hukitumia wakati wa kilimo tuu, Na je alijipatiaje hilo shamba huku wana arumeru tukiwa na ufinyu wa Ardhi.
Naomba aanzwe na hayo kwanza
Naomba kuwasilisha