Source: Mwananchi
Inasikitisha sana kuwa na serikali isiyokuwa na nidhamu ya matumizi ya hela. Serikali au taasisi makini huwa inakuwa na budget na kuifuata bila kuongeza kitu. Sasa hapa kwetu kila kukicha deni linaongezeka. Mkapa alijitahidi kupunguza, huyu Rais wa sasa aliyekosa umakini anaongeza mzigo kwa watanzania.
Ukisoma magazeti unakuta habari eti anaenda nje kuomba misaada, au tunasoma serikali imepokea msaada kutoka serikali fulani...huu kwa kiasi kikubwa ni uongo, serikali haisemi ukweli kuwa inachukua mikopo badala yake inafanya wananchi waamini serikali inasaidiwa. Huko baadae watoto wetu ndio watakaopata matatizo....
Wananchi inabidi tupigie kelele hili sio kitu kizuri for future of the economy.
Inasikitisha sana kuwa na serikali isiyokuwa na nidhamu ya matumizi ya hela. Serikali au taasisi makini huwa inakuwa na budget na kuifuata bila kuongeza kitu. Sasa hapa kwetu kila kukicha deni linaongezeka. Mkapa alijitahidi kupunguza, huyu Rais wa sasa aliyekosa umakini anaongeza mzigo kwa watanzania.
Ukisoma magazeti unakuta habari eti anaenda nje kuomba misaada, au tunasoma serikali imepokea msaada kutoka serikali fulani...huu kwa kiasi kikubwa ni uongo, serikali haisemi ukweli kuwa inachukua mikopo badala yake inafanya wananchi waamini serikali inasaidiwa. Huko baadae watoto wetu ndio watakaopata matatizo....
Wananchi inabidi tupigie kelele hili sio kitu kizuri for future of the economy.