Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 89
Katika mahusiano ya kimapenzi,je nivyema kuanza na mahusiano ya kingono kisha baadaye mipango ya kufunga ndoa.Au mipango kwanza kisha tendo baadaye?.Nawasilisha.
mhm...sasa mwanawane hapo pagumu. usipo onja unaweza uziwa mbuzi kwenye gunia. magoma ya siku hizi full uchehce sasa unawezakuta kashatoa mimba kibao ay K mileage kubwa. kwa kuwa watu siku hizi wanamegana sana mie naona ni bora nawe utest kitu kabla ya kutia ndani
Kwa kutest utajuaje alisha abort au keshatembea mileage nyingi?
ah sii wasema ebu nijaribishe mimba kama itaingia. sii ndivyo vijana wa siku hizi wanavyofanya kabla ya kutangaza ndoa. mielage bwana hapo pagumu ila its safe to assume kuwa kwa dunia hii demu angalau kashamegwa na mijamaa mitatu
mhm...sasa mwanawane hapo pagumu. usipo onja unaweza uziwa mbuzi kwenye gunia. magoma ya siku hizi full uchehce sasa unawezakuta kashatoa mimba kibao ay K mileage kubwa. kwa kuwa watu siku hizi wanamegana sana mie naona ni bora nawe utest kitu kabla ya kutia ndani
Makadirio yako ni ya chini mno...wengi wameshajaza ukurasa wapo next page...
mwazo finyu na ya kitoto kabisa!!!
Fuata maelekezo ya Mungu