johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,114
Mchungaji Lusekelo amesema haelewi Chanzo cha mvurugano wa Shehe wa Mkoa alhad Salum na Dr Mwaka ambaye ni mganga.
Lusekelo amesema kimsingi Biblia imekataza Mkristo kuombewa na Mtu wa Dini nyingine lakini Yesu angekuwepo leo angeruhusu kwa sababu ya mshikamano na maslahi mapana ya taifa.
Hata mimi naombea waislamu na wao wananiombea pia na hata hayati Magufuli tulimuombea Watu wa Dini zote amesisitiza mzee wa Upako.
Lusekelo amesema kimsingi Biblia imekataza Mkristo kuombewa na Mtu wa Dini nyingine lakini Yesu angekuwepo leo angeruhusu kwa sababu ya mshikamano na maslahi mapana ya taifa.
Hata mimi naombea waislamu na wao wananiombea pia na hata hayati Magufuli tulimuombea Watu wa Dini zote amesisitiza mzee wa Upako.