Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Uchaguzi wa mwaka huu ni kama wa mwaka 1995 ila mwaka huu mgombea wa CHADEMA ameingizwa chaka

Lisu kapewa hiyo nafasi kama sehemu ya matibabu yake na sio kwakua ana sifa za kugombea Urais na kushinda.

Chadema waliona wakimpa nafasi agombee anaweza pata nafuu kidogo, na kweli bwana ukimuona lisu kwa sasa ana recover.

Tupo tunauguza mgonjwa na sio mpinzani halisi kwa nafasi ya Urais.
 
Tumekaa miaka 5 no siasa, na Leo watu wana uitikio wa Aina Ile kwa upinzani then yy anaongea madudu gani?
 
We jamaa hamna kitu kabisa. Nani aliyekwambia mkulima akiuza popote nchi inakosa mapato.?

Unaelewa mapato yanakusanywa vipi?

Kajipange kwanza.
 
Wewe ndio umeingizwa chaka,
mzee shomari nimemuona kwenye zomea zomea ya kagera..hamtaki jiwe hata kidogo..maana zao la kahawa limemshinda jiwe, pamoja na kukaa madarakani miaka yote mitano mbaya zaidi anasahau kuwa aliahidi 2015 amechemsha sasa ana ahidi tena kuhusu kahawa 2020.
emoji23.png
 
Hii yote ni kwanini?
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Ndio maana sasa maccm wakiongozwa na Meko wanafoka jukwaani. Wananchi wanataka maji unanunua ndege, wao wanataka hospitali unajenga flaiova, wao wanataka shule unajenga SGR fupi.

Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Maccm badilikeni
Miradi ya CCM ni miradi ya 10% ni miradi ya kifisadi mtupu
 
Hii ni 2020 mwaka wa maajabu bora ukae kimya na usubirie matokeo.

Hakuna mtremko hapo mbele kuna kona kali na mlima mkali
 
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.

Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.

Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.

Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.

Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.

Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.

Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Andaa mwili; watakuja kukusulubu muda mfupi ujao
 
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.

Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.

Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.

Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.

Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.

Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.

Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.

Kwa mtu anayejuwa siasa anafahamu fika nani atashinda huu uchaguzi sababu ianafahamika kuwa kuna mgombea anapofanya mkutano inabidi kasi ma ofisini zisimame na watu wanatishiwa kuwa kutakuwa na kuandikisha majina. Watu wanasombwa na malori, wasanii wakubwa ambao wanaweza kujaza watu bila ya kuwepo mkutano wowote ndiyo wanaotumika. Hivi hapo bila hizo juhudi kutakuwa na watu kweli kwenye mkutano wa CCM kama hawatalazimisha wafanyakazi hawatasomba watu na malori hawatakiwepo wasanii. Ukijibu hilo swali ndo utafahamu kama mgombea gani atashinda.

Pili maisha ya watanzania sasa hivi ni magumu sana siyo mjini siyo kijijini wanachohitaji ni mtu wankuwaambia ni kwanini maisha yao yamekuwa magumu basi na hilo ndilo linalofanywa na Lissu. Sioni kwa namna gani CCM wanaona uchaguzi huu ni rahisi.

Hakuna kipindi uchaguzi umewahi kuwa mgumu kama safari hii, ukiangalia uchaguzi wa mwaka 1995 upinzani ulikuwa haujajulikana na pia hakukuwa na utandawazi kama leo ambapo mtu anahutubia Tunduma ujumbe unafika nchi nzima. Lakini pia Mrema alikuwa siyo mpinzani wa kweli kwahiyo hakuwa anaaminika maana na pia uelewa wake ulikuwa mdogo sana.

Mwaka 2015 mgombea alikuwa hana uwezo wa kuongea na kishawishi wapiga kura watu wengi walikuwa wanajitokeza lakini hawashawishiki sababu alikuwa hawezi kuongea zaidi ya dk 5 hivyo hawakuweza kushawishika hata baada ya kufika kwenye mikutano.

Lissu ana uwezo mkubwa wa kushawishi anaelewa mambo mengi sana na anauwezo mkubwa was kujenga hoja na kujibu hoja pia hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Sifa nyingine ni mpinzani wankweli na pia CHADEMA wamekuja na sera nzuri ambayo ina jibu matatizo ya umasikini wa wananchi wakati nchi yetu ni tajiri. Suluhu ni serikali za majimbo ili kuweza kusimamia vizuri rasilimali za nchi.

Hizo ndiyo sababu zitakazo mfanya mgombea wa CHADEMA kufanya vizuri na kishangaza watu wengi
 
Kuna wakati mzee Slaa alikua anakuja na hoja za ufisadi na ushahidi Ukiwa kamili mezani.
Zito alikua anakuja na hoja Za ufisadi wa serikali na uthibitisho Ukiwa mezani kabisa.
Angalia ishu ya Escrow ya akina Kafulila Unakuta watu wanakuja na vielelezo wazi kabisa.
Richmond iliiangusha serikali kwasababu Watu walikua na ushahidi wa wazi na wananchi wanakubali na serikali inakabwa koo.
Sasa wapinzani sasa hivi Wamepwaya sana kwenye hoja zaidi unasikia mazungumzo Kama yakwenye vijiwe vya Kahawa yanazungumzwa na mpaka wagombea urais.
Tuombe Tupate upinzani imara kabisa Kama nyakati zilizopita ili serikali ichangamke.
Kukiwa na upinzani wenye hoja, vithibitisho tutarudi enzi za upinzani unaoichachafya serikali na wananchi tunapata burudani ya Siasa na maendeleo juu.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Muuaji mkubwa wa upinzani ni Mbowe kwani ndiye aliyekuwa kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani; ameivuruga CHADEMA mpaka sasa imekuwa chama cha wababaishaji tu.
 
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.

Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.

Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.

Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.

Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.

Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.

Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.

Kuhusu kununua Ndege na kujenga uwanja kifisadi ni kweli sababu mwaka 2017 imetungwa sheria kuwa mikataba yote mikubwa itakuwa inapelekwa bungeni sasa kwanini mikataba ya Ndege haijapelekwa bungeni na kwanini ATCL haijakaguliwa tangu Ndege zinunuliwe.

Kuhusu uwanja wa chato kwanini umejengwa bila kuwepo na business plan mtu anaamka tu na kujenga uwanja kijijini kwake hata tenda haijulikani ilitangazwa lini huo siyo ufisadi nini basi maana manunuzi ya umma ya sheria zake na yanafanyika kwa uwazi kunapokuwa na usiri ndiyo ufisadi wenyewe unavyofanyika.

Tundu Lissu aendeleze moto huo huo kila mtanzania ada hamu kwamba sasa ufisadi unafanywa na nani. Watanzania wana kumbuka Prof Assad alipoonesha upotevu wa trillion 1.5 akaondolewa kazini kila mtu anajuwa kwanini aliondolewa sasa watanzania wataamuwa tarehe 28/10
 
Wale waliomwingiza chaka kugombea wakati huu nawapa 'hi five' ili ashindwe, agalagazwe vibaya, amalize zamu yake na aondoke zake, atuachie chadema tuijenge upya. Hatuwezi kuwa na kiongozi mropokaji namna hiyo.
 
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.

Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.

Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.

Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.

Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.

Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.

Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Mimi ninacho kumbukumbuka hata wajinga wanazeeka.. vilevile
 
Acheni siasa kwenye uchumi, nani kasema bidhaa ikiuzwa nje nchi inakosa mapato, kila nchi ya dunia hii inajaribu kubalance books of payment, huwezi kuagiza bidhaa nje kama huuzi nje, na kumbuka kila kitu tunaagiza kwa asilimia kubwa.
Nimeongelea huo upotoshaji mengine sihusiki nayo na sina comment
 
Ingia field, kuna upinzani? Kama hata wabunge wa upinzani hawana pesa ya kampeni. Nini kinafuata?
Nini maana ya upinzani?
Je, upinzani ni vyama au watu?
Ninachojua, a real battle btn Magu & Lissu, Magu kufikisha even 50% ni ngumu kwake. Ila kwa kuwa dola imeamua kum-favour, basi hata kwa magumashi wameamua lazima atangazwe kwa zaidi ya 90%.
 
Wahenga wanasema usimdharau mtu usiyemjua. Sababu huwezi kujua huyo mtu anajua nini au ana maarifa gani kukuzidi wewe. Mzee Shomari japo ni muuza kahawa anajua mambo mengi. Ni mzee darasa la nne la mkoloni lakini ana uwezo wa kudadavua mambo.

Mwaka 1995 mgombea wa NCCR mageuzi Lyatonga Mrema aliichachafya Ccm kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi. Lakini Ccm ilipo jitafakari na kujirekebisha alijuwa wazi awamu ya pili hawezi tena kuwasumbua Ccm hivyo alikuwa mpole na Ccm ikachukua ushindi.

Ni wazi kabisa CCM mwaka 2015 Lowassa aliwachachafya CCM, lakini ukweli ni kuwa wamejirekebisha na sasa hakuna chama ambacho kinaweza kuwapa presha au jambajamba. Maana ni wazi kuwa CCM itashinda kwa 96% wabunge, madiwani na urais.

Mzee Shomari anasema ni wazi kuwa Tundu Lissu ameingizwa mkenge kuwania nafasi ambayo CHADEMA walijua fika kwa awamu hii hawawezi kuipata hata kwa udi na uvumba.

Lissu ameingizwa mkenge na Mbowe ndio maana hata badala ya kunadi sera na ilani ya chama chake amebaki kuleta siasa za kishamba za uropokaji majukwaani. Mfano mgombea urais unaweza eti utaruhusu wakulima wa korosho kuuza nchi yoyote wanayoitaka! Yaani mkulima wa korosho akauzie Msumbiji, na Tanzania unayoiongoza isipate mapato.

Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.

Ukweli ni kuwa Mbowe ulijuwa Lissu alitakiwa kugombea Ubunge au udiwani,ila umemuingiza chaka. Na mbaya zaidi umemuacha peke yake afanye kampeni,ndio maana anaropoka hovyo.
Kongole mzee shomari. Ushindi 96%,kwa CCM this time. Tuwaletee maendeleo watanzania.
 
Nini maana ya upinzani?
Je, upinzani ni vyama au watu?
Ninachojua, a real battle btn Magu & Lissu, Magu kufikisha even 50% ni ngumu kwake. Ila kwa kuwa dola imeamua kum-favour, basi hata kwa magumashi wameamua lazima atangazwe kwa zaidi ya 90%.
Lissu kufikisha 50% ya kura alizopata lowasa itakuwa ngumu Sana.
 
Yaani anajazwa upepo na Watu wa mitandaoni ID Kumi kumi
bila kujua hawa ni Vibendera tu
ngoja Atakiona
 
Acheni siasa kwenye uchumi, nani kasema bidhaa ikiuzwa nje nchi inakosa mapato, kila nchi ya dunia hii inajaribu kubalance books of payment, huwezi kuagiza bidhaa nje kama huuzi nje, na kumbuka kila kitu tunaagiza kwa asilimia kubwa.
Nimeongelea huo upotoshaji mengine sihusiki nayo na sina comment
Sawa kuna mantiki gani kusema wakulima wa korosho wauzie nchi za nje?
 
Back
Top Bottom