Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
.Mwanamuziki mkongwe wa bendi Msondo Ngoma, Muhiddin Gurumoakiwa katika hospital ya Taifa Muhimbili, Dar es salaam akipimwamapigo ya moyo na Ofisa Muuguzi Msaidizi wa Hospital hiyo, SuraiyaMohamed ambapo Gurumo amelazwa kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa kina wa afya yake tangu mwishoni mwa wiki iliyopita.(Picha kutoka bongostaz.blogspot.com)
Umeipenda Hii Story? Share na Washkaji: