MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
baada ya malalamiko mengi dhidi ya mwanae Januari na kutokubalika katika jimbo la bumbuli, Mzee Makamba amedokeza huenda akaamua kuingia mwenyewe kwenye ulingo...mzee Makamba alinukuliwa akiyasema hayo pale alipoulizwa na wazee wenzake kijijini kwake..
Kumekwa na malalamiko mengi dhidi ya Januari Makamba kutoka kwa Mh Shelukindo na baadhi ya viongozi wa chama na wananchi jimbo la bumbuli.
Mzee Makamba ambaye alishawahi pia kugombea ubunge kwenye jimbo hilo mara 2 na kukosa, ameshindwa kumsaidia mwanae kukubalika ndani ya jimbo, Mzee Makamba analalamikiwa kwa kuwadharau,kuwatukana wananchi wa jimboni mwake na kuendekeza ubinafsi, baahi ya watu waliokaribu na familia yake wamesema ni bora wasipige kura kuliko kumchagua Januari Makamba.
Hata hivyo kampeni za Januari Makamba bado zinaendelea na badhi ya viongoi wamekuwa wanaendelea kumpigia kampeni na sasa mama yake mzazi january ameamua naye kujitosa kfanya hivyo kwa kwenda kijijini kwa mzee makamba na kuonana na akina mama na kuwapa zawadi ikiwa ni pesa na khanga, mama huyu ameamua kufanya hivyo baada ya wanajimbo kusema hawamjui Januari wala mama yake, ikumbukwe mama yake Januari ni mzawa wa Kagera na hajaahi kuishi bumbuli...
bado pia Mh. Shelukindo hajaamua rasmi kama atagombea tena au la...
Kumekwa na malalamiko mengi dhidi ya Januari Makamba kutoka kwa Mh Shelukindo na baadhi ya viongozi wa chama na wananchi jimbo la bumbuli.
Mzee Makamba ambaye alishawahi pia kugombea ubunge kwenye jimbo hilo mara 2 na kukosa, ameshindwa kumsaidia mwanae kukubalika ndani ya jimbo, Mzee Makamba analalamikiwa kwa kuwadharau,kuwatukana wananchi wa jimboni mwake na kuendekeza ubinafsi, baahi ya watu waliokaribu na familia yake wamesema ni bora wasipige kura kuliko kumchagua Januari Makamba.
Hata hivyo kampeni za Januari Makamba bado zinaendelea na badhi ya viongoi wamekuwa wanaendelea kumpigia kampeni na sasa mama yake mzazi january ameamua naye kujitosa kfanya hivyo kwa kwenda kijijini kwa mzee makamba na kuonana na akina mama na kuwapa zawadi ikiwa ni pesa na khanga, mama huyu ameamua kufanya hivyo baada ya wanajimbo kusema hawamjui Januari wala mama yake, ikumbukwe mama yake Januari ni mzawa wa Kagera na hajaahi kuishi bumbuli...
bado pia Mh. Shelukindo hajaamua rasmi kama atagombea tena au la...