Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Tumsamehe bure siasa ndivyo zilivyoHivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Unajua kuwa alikuwa mcheza ngoma za utamaduni jeshiniHivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
R.I.PHivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
uzi ufungwe hakuna tena jibu bora kama hiliWazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...
Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
🆒👍👌👏🤝🙏🔊💐🎁🗼Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...
Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Hiyo ni sawa ila pia inategemeana na nani anasema na alikuwa anasema katika mazingira yepi. Kama mtu anamchumia marehemu alafu akasema maneno hayo, hiyo maana uliyoisema inakuwa haina mashiko.Katika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki
Mfano tazama katika familia yako utapata jibu
Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.
Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .
Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
Tusubiri akiwa mbayaHivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini
Wakikaribishwa Ikulu wa Ulimwengu mpya
na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzimana hewa safi tunayopumua kila siku?
Siyo kweliKila mtu atakufa