Kuna binti wa kichaga mrembo sana amelelewa na wazazi wake wote wawili ni jirani yetu, baba yake ni mzazi mzuri na very strict kwenye familia yake alijitahidi kumpeleka shule nzuri mpk Nairobi lakini haikufua dafu, huyo binti amezalishwa watoto wa3 na vijana tofauti...hivi ninavyoongea wawili anawalea baba mzazi wa huyo binti na mkewe ambae ni mama wa huyo binti na huyo mtoto wake mdogo wamemfukuza nae akamtafute baba yake wamechoka kulea wajukuu.
Mwingine ni binti flani mama yake ni muhaya, single mother pia nae alikua ni jirani yetu japo alishahama..mama yake alisema alipewa mimba na baba wa yule binti akamtelekeza, yule single mother akaamua akaamua kua mlinzi ikifika usiku anavaa sare zake za "aurora security" anaenda kazini na mchana alikua anajishughulisha na kupika mama ntilie, binti yake alisoma shule za serilali na akafaulu vizuri sana...sasa hv nnavyoandika ni muhasibu mkubwa tu kwenye kampuni fulani, ameolewa na ana watoto wawili! Mama yake alikua anaishi pale kwny ile nyumba km kuilinda tu so amemjengea nyumba mama yake na amemsaidia kumpa mtaji wa upishi wa kwenye masherehe!
Mentality za kiafrica sometimes hua zinasikitisha sana, wengi mnaongelea kwa nn ndugu wa baba wa huyo binti hawapo hivi kweli mwanaume akupe mimba akutelekeze na mtoto utaenda kutafuta ndugu zake?? Yaan upate muda wa kulea mtoto na wa kutafuta ndugu zake kweli? Hao kila siku wanaolia kweye ndoa wamepata wanawake wabovu waliolewa na masingle mama? Na wewe kijana wa kiume umepata mwanamke unaona hafai kwa nn uzae nae? Na ikitokea umezaa nae hakikisha unamfatilia mtoto wako pia hata km huyo mama yake huna muda nae inasaidia sana ktk kukuza akili ya mtoto na upendo juu ya baba yake.
Mwingine ni binti flani mama yake ni muhaya, single mother pia nae alikua ni jirani yetu japo alishahama..mama yake alisema alipewa mimba na baba wa yule binti akamtelekeza, yule single mother akaamua akaamua kua mlinzi ikifika usiku anavaa sare zake za "aurora security" anaenda kazini na mchana alikua anajishughulisha na kupika mama ntilie, binti yake alisoma shule za serilali na akafaulu vizuri sana...sasa hv nnavyoandika ni muhasibu mkubwa tu kwenye kampuni fulani, ameolewa na ana watoto wawili! Mama yake alikua anaishi pale kwny ile nyumba km kuilinda tu so amemjengea nyumba mama yake na amemsaidia kumpa mtaji wa upishi wa kwenye masherehe!
Mentality za kiafrica sometimes hua zinasikitisha sana, wengi mnaongelea kwa nn ndugu wa baba wa huyo binti hawapo hivi kweli mwanaume akupe mimba akutelekeze na mtoto utaenda kutafuta ndugu zake?? Yaan upate muda wa kulea mtoto na wa kutafuta ndugu zake kweli? Hao kila siku wanaolia kweye ndoa wamepata wanawake wabovu waliolewa na masingle mama? Na wewe kijana wa kiume umepata mwanamke unaona hafai kwa nn uzae nae? Na ikitokea umezaa nae hakikisha unamfatilia mtoto wako pia hata km huyo mama yake huna muda nae inasaidia sana ktk kukuza akili ya mtoto na upendo juu ya baba yake.