Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,588
Dada wa watu kawaomba ushauri ili ajikomboe kwa balaa lililomkuta, ila wadau ushauri mnaompa, yani mnamuongezea matatizo, msongo wa mawazo, na kumkaanga kabisa.
Nyie mnaweza mkamfanya mtu hata anywe sumu aise.
Nyie mnaweza mkamfanya mtu hata anywe sumu aise.