MYC4: Fursa ya Mikopo kwa Wajasiriamali Wadogo

Entrepreneur

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
1,087
620
MYC4 is an internet marketplace where investors from around the world can lend money directly to entrepreneurs who are doing business in Africa, thus playing a personal, direct role in creating growth. Hii ni fursa ya pekee kwa wajasiriamali wenzangu wanaohitaji mikopo kwa ajili ya kuendeleza au kuanzisha biashara zao. Wapo baadhi ya Watanzania wenzetu wameshafaidika na hizi huduma, na ndio maana nimeona ni busara kuliweka hap

MyC4 has a strict selection process which identifies entrepreneurs looking to develop companies that provide healthy economic prospects for growth. The screened entrepreneurs then post their ideas labelled as an Opportunity online so that visitors to the MyC4 website can bid on (to invest in) any open Opportunity on MyC4. The bidding process is based on auction which basically means, the more people that are interested in investing, the more favourable the terms (e.g. interest rate) become for the African business.


Angalia video hii namna wanavyofanya shughuli zao kwa
kubofya HAPA: Pia unaweza kuwatembelea kwa kubofya HAPA

Karibuni
 
mkuu mbona unabana tangazo hili kama vp ni pm na picha alafu mambo haya mazuri niweke kwenye blog
GSHAYO
 
mkuu mbona unabana tangazo hili kama vp ni pm na picha alafu mambo haya mazuri niweke kwenye blog
GSHAYO

Mkuu sibani tangazo bali napunguza ujazo wa server za JF. Kila kitu kipo online ndio maana nimeweka hizo link. Ni www.myc4.com. Na hii si kwa wakopaji tu hata kwa wakopeshaji. Hebu watembelee, huko wakopeshaji na wakopaji ndio wanapokutana.
 
Mkuu tunaomba utuwekee angalau majina ya wajasiriamali wa bongo wawili waliofanikiwa na hii kitu
 
MYC4 is an internet marketplace where investors from around the world can lend money directly to entrepreneurs who are doing business in Africa, thus playing a personal, direct role in creating growth. Hii ni fursa ya pekee kwa wajasiriamali wenzangu wanaohitaji mikopo kwa ajili ya kuendeleza au kuanzisha biashara zao. Wapo baadhi ya Watanzania wenzetu wameshafaidika na hizi huduma, na ndio maana nimeona ni busara kuliweka hap

MyC4 has a strict selection process which identifies entrepreneurs looking to develop companies that provide healthy economic prospects for growth. The screened entrepreneurs then post their ideas labelled as an Opportunity online so that visitors to the MyC4 website can bid on (to invest in) any open Opportunity on MyC4. The bidding process is based on auction which basically means, the more people that are interested in investing, the more favourable the terms (e.g. interest rate) become for the African business.

Angalia video hii namna wanavyofanya shughuli zao kwa
kubofya HAPA: Pia unaweza kuwatembelea kwa kubofya HAPA

Karibuni
Mkuu, nimetembelea hii website, lakn naona sijapata malezo ya kujitosheleza,
1, Ni kiasi gani cha mwisho kukopa
2. Hatua zipi anazochukua mkopaji kuomba mkopo
3. Dhamana za namna gani ambazo zinakubalika
 
Mkuu tunaomba utuwekee angalau majina ya wajasiriamali wa bongo wawili waliofanikiwa na hii kitu

Komando kwanza heshima mbele. Back to the topic

Kama ungetaka kujua hayo majina ungetembelea hiyo web, kwani kila kitu kipo wazi kuhusu hao watanzania. I know you are very intelligent guy, so if i can do it, you can do it too. Najua si sahihi kuamini kila utakachokisoma, hasa ukivuta kumbukumbu kuhusu ule utapeli wa DECI, but hawa jamaa wapo serious, na kwa sasa wana partners hapa Tanzania kwa ajili ya issues za administration na utoaji wa fedha, hawa ni TUJIJENGE MICROFINANCE na BELITA

Mfano wa watanzania waliopata loan ni Nipha Mkuki, kupitia BELITA, mwingine ni Germin Mallya kupitia Tujijenge (ila huyu bid yake inafungwa kesho kutwa). Kimsingi hii program peer-to-peer on line lending imechelewa sana kuingia Tanzania ukilinganisha na nchi nyingine kama Kenya na Uganda. Hivyo usishangae sana kuona Wakenya na Waganda wakiwa na muamko wa hii kitu kutuzidi sisi.
 
Mkuu, nimetembelea hii website, lakn naona sijapata malezo ya kujitosheleza,
1, Ni kiasi gani cha mwisho kukopa
2. Hatua zipi anazochukua mkopaji kuomba mkopo
3. Dhamana za namna gani ambazo zinakubalika

Mkuu sina Uhakika sana na kiasi cha mwisho kwani sifanyi nao kazi, but ukiwacheki. Tujijenge Tanzania kupitia, shafin@tujijenge.org (hii ni kwa mujibu wa web yao) anaweza wakakupa details zaidi. Dhamana kama vitendea kazi vya biashara yako, home appliances, card ya Gari, Hati n,k kutegemeana na kiasi cha fadha utakachoomba.

Kikubwa kinachohitajika ni wewe kucreate account yako kwenye hiyo web yao then una upload idea yako na kiasi unachotaka, ukiiweka online watu (Investors) ambao ni member kwenye MYC4 wanaanza kukambana kuifinance na wanatoa offer yao kwako. hapa utapata fursa ya kuchagua Mkopeshaji anayetoza RIBA unayokubaliana nayo. Mkikubaliana hao partner wa MYC4 wana pull off hii yo deal kwa kutoa Mkopo kulingana na nchi uliyopo kwa Tanzania ni Tujijenge Tanzania na BELITA.
 
Komando kwanza heshima mbele. Back to the topic

Kama ungetaka kujua hayo majina ungetembelea hiyo web, kwani kila kitu kipo wazi kuhusu hao watanzania. I know you are very intelligent guy, so if i can do it, you can do it too. Najua si sahihi kuamini kila utakachokisoma, hasa ukivuta kumbukumbu kuhusu ule utapeli wa DECI, but hawa jamaa wapo serious, na kwa sasa wana partners hapa Tanzania kwa ajili ya issues za administration na utoaji wa fedha, hawa ni TUJIJENGE MICROFINANCE na BELITA

Mfano wa watanzania waliopata loan ni Nipha Mkuki, kupitia BELITA, mwingine ni Germin Mallya kupitia Tujijenge (ila huyu bid yake inafungwa kesho kutwa). Kimsingi hii program peer-to-peer on line lending imechelewa sana kuingia Tanzania ukilinganisha na nchi nyingine kama Kenya na Uganda. Hivyo usishangae sana kuona Wakenya na Waganda wakiwa na muamko wa hii kitu kutuzidi sisi.

Mkuu nimekupata sana sana na nashukuru sana, vipi inatofauti na BID Network?
ngoja nifanyie mchakato proposal yangu,

Ila nawashauri wana janvi wenzangu na wabongo wengine, tujaribu kutuma idea zilizo end shule, hapa wanataka sound business aidea,

So tujaribu business aidea ambazo ni very creative, mfano

1. Kwenye mambo ya processing and packeging

2. Culture tourism

3. IT

4. Mining

5. Ufugaji wa kuku, ng'ombe, mbuzi, na kazalika

Na katika hizi tujaribu kufanya hadi finishing kwamba utafuga kuku na utafanya proccessing na utapaki mwenyewe

Hapa huwa hawapendi biashara za uchuuzi
 

Mkuu nimekupata sana sana na nashukuru sana, vipi inatofauti na BID Network?
ngoja nifanyie mchakato proposal yangu,

Ila nawashauri wana janvi wenzangu na wabongo wengine, tujaribu kutuma idea zilizo end shule, hapa wanataka sound business aidea,

So tujaribu business aidea ambazo ni very creative, mfano

1. Kwenye mambo ya processing and packeging

2. Culture tourism

3. IT

4. Mining

5. Ufugaji wa kuku, ng'ombe, mbuzi, na kazalika

Na katika hizi tujaribu kufanya hadi finishing kwamba utafuga kuku na utafanya proccessing na utapaki mwenyewe

Hapa huwa hawapendi biashara za uchuuzi

Inatofauti kubwa sana na BiDNetwork, kule hata mimi ni member. Mkuu hii ni njia mpya inayowaleta Wakopeshaji na Wakopaji Pamoja. Sema huku kwetu imechelewa kufika. Halafu huku si lazima kuwa Mkopaji, hata ukitaka kuwa Mkopeshaji inawezekana pia. Wasome vizuri

Mimi mara ya kwanza kuwatembelea hawa jamaa nilipata wazo la kuwa na kitu cha aina hii kwa hapa Tanzania. Ukweli ni kwamba wakati wengine tunalalamikia uhaba wa fedha, kuna watanzania wenzetu wanazo za kutosha na hawajui wafanyie nini zaidi ya kuziweka bank, and they cant support those in need. "It is hard to trust the man on the street begging for money, but it is equally hard to trust the man in a fancy suit promising your money will go to a greater cause than his dinner", as they say in 51give.

Peer-to-Peer online lending inafanya kazi vizuri sana sema sisi bado ni waoga au tumechelewa kuijua hii model, ila wenzetu imewasaidia/inawasaidia sana. Kwa mfano ukiwatembelea Zopa, RangDe, Microplace, Kiva and 51Give utakubaliana nami. Wadau wanaokuja hapa Business Forum na kusema wanashida ya hela ili wakapull off project zao, huku ndio mahali kwao wanapostahili si kupeleka maombi yao, bali idea zao

Wadau tuchangamkie hizi fursa zinazoletwa na mitandao




 
Mkuu tunaomba utuwekee angalau majina ya wajasiriamali wa bongo wawili waliofanikiwa na hii kitu

bosi komando mambo vip? ebwana hyo ishu ya kupeleka idea za mining imekaaje? maana nina site ila hata pa kuanzia spajui.ni pm kama vp?
 
asante kwa kutushirikisha jambo hili la baraka ngoja niwasome vizuri then nitajiunga nao kwani mm ni mjasiriamali

mkuu asante sana
 
MYC4 is an internet marketplace where investors from around the world can lend money directly to entrepreneurs who are doing business in Africa, thus playing a personal, direct role in creating growth. Hii ni fursa ya pekee kwa wajasiriamali wenzangu wanaohitaji mikopo kwa ajili ya kuendeleza au kuanzisha biashara zao. Wapo baadhi ya Watanzania wenzetu wameshafaidika na hizi huduma, na ndio maana nimeona ni busara kuliweka hap

MyC4 has a strict selection process which identifies entrepreneurs looking to develop companies that provide healthy economic prospects for growth. The screened entrepreneurs then post their ideas labelled as an Opportunity online so that visitors to the MyC4 website can bid on (to invest in) any open Opportunity on MyC4. The bidding process is based on auction which basically means, the more people that are interested in investing, the more favourable the terms (e.g. interest rate) become for the African business.


Angalia video hii namna wanavyofanya shughuli zao kwa
kubofya HAPA: Pia unaweza kuwatembelea kwa kubofya HAPA

Karibuni

Mjasiriamali... this is quite an interesting idea.. nimewaangalia hawa watu wawili wa mfano... mmoja tayari keshalipa mkopo wote... nazidi kupitia website yao pamoja na kuangalia You tube videos zao niwafamu zaidi... ili nisikusumbue kwa maswali...... Ahsante...
 
Mjasiriamali... this is quite an interesting idea.. nimewaangalia hawa watu wawili wa mfano... mmoja tayari keshalipa mkopo wote... nazidi kupitia website yao pamoja na kuangalia You tube videos zao niwafamu zaidi... ili nisikusumbue kwa maswali...... Ahsante...

Karibu sana ndugu yangu. Kila la heri
 
Back
Top Bottom