Kifai JF-Expert Member Jan 18, 2013 816 172 Feb 28, 2013 #1 Jamani cjui wallet yangu ina matatizo gani? Kila nikichomoa elfu kumi chenji haikai hata nusu saa, au izi wallet cku izi zina virus jamani?
Jamani cjui wallet yangu ina matatizo gani? Kila nikichomoa elfu kumi chenji haikai hata nusu saa, au izi wallet cku izi zina virus jamani?
mayenga JF-Expert Member Sep 6, 2009 4,118 1,966 Feb 28, 2013 #2 ni wewe tu huna nidhamu na matumizi.
S sily JF-Expert Member Feb 20, 2013 926 577 Feb 28, 2013 #3 Kifai said: Jamani cjui wallet yangu ina matatizo gani? Kila nikichomoa elfu kumi chenji haikai hata nusu saa, au izi wallet cku izi zina virus jamani? Click to expand... Tafuta ant virus.
Kifai said: Jamani cjui wallet yangu ina matatizo gani? Kila nikichomoa elfu kumi chenji haikai hata nusu saa, au izi wallet cku izi zina virus jamani? Click to expand... Tafuta ant virus.
Kamanda Kazi JF-Expert Member Dec 15, 2012 2,613 790 Feb 28, 2013 #5 mimi ninayo antivirus ya kuzuia kirusi cha upotevu wa fedha! dakika kumi tu pesa yako haipotei potei tena!
mimi ninayo antivirus ya kuzuia kirusi cha upotevu wa fedha! dakika kumi tu pesa yako haipotei potei tena!
Kifai JF-Expert Member Jan 18, 2013 816 172 Feb 28, 2013 Thread starter #6 Kamanda Kazi said: mimi ninayo antivirus ya kuzuia kirusi cha upotevu wa fedha! dakika kumi tu pesa yako haipotei potei tena! Click to expand... inauzwa wapi iyo?
Kamanda Kazi said: mimi ninayo antivirus ya kuzuia kirusi cha upotevu wa fedha! dakika kumi tu pesa yako haipotei potei tena! Click to expand... inauzwa wapi iyo?