bakuza
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 490
- 100
Serikali na wizi huu hapaaaaaana!!!!
Ktk hali isiyo ya kawaida jana nilifanikiwa kuona salary slip ya mwezi uliopita ya rafiki yangu akiwa analalamikia makato yaliyofanywa bila yeye kujua ni ya nini maana pale wameandika Nanukuu "MCHANGO MAALUM"mwisho wa nukuu,bila kutaja hiyo maalum ni kitu gani.
Nikajisemea moyoni sikubali mpaka nijue haya makato ni ya nini.nawasilisha kwenu Ndugu zangu wenye kujua hili tujuzeni isije ikawa wanachangia vikao vya CCM huko Dodoma.
Maskini ya Mungu huyu jama ni mwl na anaonesha hajui pa kuanzia kujua sababu ya makato hayo na si peke yake bali ni walimu wengi ambao jana walikuwa wakilalama.
Saidia wanyonge hawa wajue pesa yao iliko elekea.
Nawasilisha.......
Ktk hali isiyo ya kawaida jana nilifanikiwa kuona salary slip ya mwezi uliopita ya rafiki yangu akiwa analalamikia makato yaliyofanywa bila yeye kujua ni ya nini maana pale wameandika Nanukuu "MCHANGO MAALUM"mwisho wa nukuu,bila kutaja hiyo maalum ni kitu gani.
Nikajisemea moyoni sikubali mpaka nijue haya makato ni ya nini.nawasilisha kwenu Ndugu zangu wenye kujua hili tujuzeni isije ikawa wanachangia vikao vya CCM huko Dodoma.
Maskini ya Mungu huyu jama ni mwl na anaonesha hajui pa kuanzia kujua sababu ya makato hayo na si peke yake bali ni walimu wengi ambao jana walikuwa wakilalama.
Saidia wanyonge hawa wajue pesa yao iliko elekea.
Nawasilisha.......