Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Hili timbwili la leo la kufa mtu. Kuna jamaa kafumaniwa na Mke wake anabanjuka na mwanawe wa kumzaa kabisa. Hivi huwa kinatokea nini kwa jamaa kama huyu kutembea na mwanawe wa kumzaa. Kwa nini kwa wanawake haiwi kawaida kusikia upuuzi kama huu. Haya mambo ya Tabata Mawenzi yamenichanganya kabisa!!