Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hahahaaaaa aisee dah halafu kweli lolpapito hilo mm nalijua. kwa siku unani mention sio chini ya mara 50. mm na ww daima!
Hahahaaaaa aisee dah halafu kweli lolpapito hilo mm nalijua. kwa siku unani mention sio chini ya mara 50. mm na ww daima!
Unataka nikwambie kiluninga luninga...let me practise first usijari...ntasema exactly kama ile episode ninayoangalia channel ten Erotica....tell me something else
Hahahaaaaa aisee dah halafu kweli lol
aww darling Ndahani. unaniruhusu kukwita darling this once? Asante sana papito.
nitamsumbiri Kaunga baby tuje nae. anasema haamini kama naweza jikontrol
wen it kams to u. sijui ana mana gani yani! :A S-baby:
kwa sasa ww holding my hand, ww ku practice swt words, ww kunipa
ipad inatosha. mie sio mroho kiasi hicho kirusha roho. ulikuwa haujui?
Haahaaa! Muulizie vizuri ana maanisha nini? Kwani wewe hujui ana maanisha nini?
Nilikuwa sijui ndo leo umenihabarisha....ila ushauri wa Kaunga uuzingatie...twins sio mchezo
teh teh teh. sijui papito. labda sabb nikikuongelea huwa napenda kunyonya kidole. nisaidie.
Mjanja mjanja kama wewe unanyonya kidole wapi na wapi? Lol! Twins wanakuja tuwalee vema...tatizo mmoja akiwa rangi tofauti na mwingine.
kweli tena Ndahani, nilipigwa hata picha hebu jionee mwenyewe!
hapo nilikuwa nakuongelea wewe.. ikanifanya hadi nichukue choclate
nilambe mana nilikuwa najing'ata wakati wa kujinyonya.
I must be the luck man on earth if until todate there is a woman able to do that for me lol!
Hii tamthiloa ya Ndahani na Erotica imefikia episode ya ngapi? Ero, si i told u jana?
Haya haya BADILI TABIA ba Yummy na cacico fasta mnambie kinaendelea gani?
Mtoto amenizimikia mchungaji....
papito mchungaji. episode zilisha isha na kufungwa. hio ni review tu.
usije niona sio mtiifu hasa baada ya mautubio yote yale. bado ni mtakatifu
na nisha kubali hali halisi kuwa Ndhahani sio wangu bali Kaunga. usiwore kabis.
Umepungukiwa neno
Moja tu, kauze vyote ulivyo navyo kisha uje.