Unatutia wasiwasi,umeajiriwa husomi nyaraka zinazokuhusu kama mfanyakazi,au ndio nyinyi mkiajiliwa kila kitu usimuliwe na wenzako,nakushauri utafute staff regurations za serikali,hasa sehemu inayohusu staff benefit,pia ujue utaratibu mzima wa kupeleka claim zako za malipo.