Mwongozo wana JF tafadhali...

Rugaijamu

JF-Expert Member
Jul 10, 2010
2,942
1,294
Ninawaomba kama kuna mwana jf anayefahamu utaratibu/kanuni zinazozingatiwa katika ulipaji wa fedha za likizo kwa mtumishi wa serikali.
 
Unatutia wasiwasi,umeajiriwa husomi nyaraka zinazokuhusu kama mfanyakazi,au ndio nyinyi mkiajiliwa kila kitu usimuliwe na wenzako,nakushauri utafute staff regurations za serikali,hasa sehemu inayohusu staff benefit,pia ujue utaratibu mzima wa kupeleka claim zako za malipo.
 
Unatutia wasiwasi,umeajiriwa husomi nyaraka zinazokuhusu kama mfanyakazi,au ndio nyinyi mkiajiliwa kila kitu usimuliwe na wenzako,nakushauri utafute staff regurations za serikali,hasa sehemu inayohusu staff benefit,pia ujue utaratibu mzima wa kupeleka claim zako za malipo.

asante kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom