kama upo tayari ni pm mi nimepangwa shinyanga vijijini so kama utakuwa interested tubadilishane.
mie sio kwamba sehemu nilipopangiwa ni mbaya...tatzo ni nyumbani nafuta eneo la mwz nyamagana,ilemela,au magu! hko shy bush siyo bora nibaki skani!...
KWELI WATU SIO WAZALENDO, KWANI HUKO UNAKO KATAA UNATAKA NANI AENDE? ISN'T IT NOT PART OF UR COUNTRY?watanzania kweli tunamatatizo. post zenu zilivyokuwa zina chelewa mulikuwa munapiga kelele sasa mumepangiwa munaleta shida. ikiwa nyinyi mumeshapangiwa sehemu na kuanzia mwezi ujao mnaanza kula ela za serikali MNALALAMIKA.
SISI tusiopata kazi mpaka leo tusemeje?
ACHENI UJINGA HEBU NENDENI SEHEMU MULIZOPANGIWA.
Ujanja si kuwahi ujanja kupata.
KWELI WATU SIO WAZALENDO, KWANI HUKO UNAKO KATAA UNATAKA NANI AENDE? ISN'T IT NOT PART OF UR COUNTRY?
Haaaaaa, mnatukera kwa kweli.... sasa ambaye hana kazi asemeje? mnataka mpewe nini ndipo mshukuru Mungu? mpewe mawe ndio mtashukuru? LAAAHASHA! msitutie kiwewe ambao hatuna kazi hebu nendene huko mkalitumikie taifa lenu fafadhali........
watanzania kweli tunamatatizo. post zenu zilivyokuwa zina chelewa mulikuwa munapiga kelele sasa mumepangiwa munaleta shida. ikiwa nyinyi mumeshapangiwa sehemu na kuanzia mwezi ujao mnaanza kula ela za serikali MNALALAMIKA. SISI tusiopata kazi mpaka leo tusemeje? ACHENI UJINGA HEBU NENDENI SEHEMU MULIZOPANGIWA. Ujanja si kuwahi ujanja kupata.[/QUt kweli mim nawashanga sis wengne hatuna kazi mpaka tunataman tungekuw nyie nende bhana acheni mambo ya ajabu jaman kazi mlikuwa mnataka mmepew mmnaanz kulalamika tena
Hata mimi nimepangiwa shinyanga vijijini.naomba kwa mwenye taarifa juu ya upatikanaji wa huduma za jamii ktk hii wilaya atujuze 2sepe mapema
Me niko sumbawanga kama vp tubadilishane