PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
Ila mbuni ni wakubwa aisee nilimuona live hivi sikuamini
Eti ng'ombe?Mbuni na tembo ni kitu size moja jombaa.Anafikia ukubwa wa ng'ombe sijawahi kumuona??
harafu nasikia spidi yake ya kukimbia inaweza kufanana na benzEti ng'ombe?Mbuni na tembo ni kitu size moja jombaa.
harafu nasikia spidi yake ya kukimbia inaweza kufanana na benz
Eti benz?Spidi ya Mbuni na ya Chui ni kitu sawa jombaa!Hahaha,vako nayo!harafu nasikia spidi yake ya kukimbia inaweza kufanana na benz