jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 664
- 1,204
Habari zenu wanandugu natumaini mtakuwa salama sana
Miezi 10 nyuma nilifanikiwa kununua eneo nikiwa bado najichanga changa nione nitalifanyia nini hili eneo liweze kunipa matunda muda huo ikanibidi nianze kulipanda ndizi nikaanza kuchimba mashimo ya migomba kwa mikono yangu na nilipoona panapohitaji nguvu kazi kubwa niliweka vibarua wakunisaidia mpaka nkakamilisha mashimo 580 na mbegu za migomba nilichukua kwa majirani zingine nilinunua kwa pesa mpaka nkafanikiwa kupanda shamba zima likiwa na migomba (ndizi) za kupika 350, kuvundika ndizi 100 na ndizi za kuchoma 25 mpaka sasa sijapanda mashimo mengine...
MAFANIKIO
Ndugu zangu ni kwa muda mchache sana kama miezi 8 naanza kuona mafanikio baadhi ya NDIZI zimebeba sana na kuna shule ipo jirani ya mtu binafsi kila ijumaa nmepewa oda niwe napeleka mikungu 20 ya ndizi na kila mkungu wa ndizi nauza mpaka Tsh. 12000 na naweza vuna mikungu ya ndizi zaidi ya 30 kwa mara moja ,
Ndizi zinatoka kubwa na zenye afya kwa sababu kila shimo la mgomba niliweka mbolea ndoo mbili ya samadi.. Na maji yapo karibu kwa hiyo hainipi shida kumwagilia
CHANGAMOTO
Hapa ndo penye umuhimu mkubwa sana na ndo hasa lengo kuu la kuuanzisha Uzi huu kuna wezi wameisha anza kuniibia ndizi shambani nmepata wamekata migomba kama 6 na wameondoka na NDIZI inaniuma sana wadau naombeni msaada najua humu JF kuna watu walishawahi kupitia changamoto kama yangu ama zaidi ila walitatua kwa namna yoyote ile nipo tayari...
"tusameheane kwa mwandiko wangu wakubwa"
Miezi 10 nyuma nilifanikiwa kununua eneo nikiwa bado najichanga changa nione nitalifanyia nini hili eneo liweze kunipa matunda muda huo ikanibidi nianze kulipanda ndizi nikaanza kuchimba mashimo ya migomba kwa mikono yangu na nilipoona panapohitaji nguvu kazi kubwa niliweka vibarua wakunisaidia mpaka nkakamilisha mashimo 580 na mbegu za migomba nilichukua kwa majirani zingine nilinunua kwa pesa mpaka nkafanikiwa kupanda shamba zima likiwa na migomba (ndizi) za kupika 350, kuvundika ndizi 100 na ndizi za kuchoma 25 mpaka sasa sijapanda mashimo mengine...
MAFANIKIO
Ndugu zangu ni kwa muda mchache sana kama miezi 8 naanza kuona mafanikio baadhi ya NDIZI zimebeba sana na kuna shule ipo jirani ya mtu binafsi kila ijumaa nmepewa oda niwe napeleka mikungu 20 ya ndizi na kila mkungu wa ndizi nauza mpaka Tsh. 12000 na naweza vuna mikungu ya ndizi zaidi ya 30 kwa mara moja ,
Ndizi zinatoka kubwa na zenye afya kwa sababu kila shimo la mgomba niliweka mbolea ndoo mbili ya samadi.. Na maji yapo karibu kwa hiyo hainipi shida kumwagilia
CHANGAMOTO
Hapa ndo penye umuhimu mkubwa sana na ndo hasa lengo kuu la kuuanzisha Uzi huu kuna wezi wameisha anza kuniibia ndizi shambani nmepata wamekata migomba kama 6 na wameondoka na NDIZI inaniuma sana wadau naombeni msaada najua humu JF kuna watu walishawahi kupitia changamoto kama yangu ama zaidi ila walitatua kwa namna yoyote ile nipo tayari...
"tusameheane kwa mwandiko wangu wakubwa"