Wimbi la masikitiko limeikumba kundi la waimbaji muziki wa Injili nchini baada ya mwenzao Deborah John Said kufariki mchana huu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili , inasemekana mwezi uliopita Muimbaji huyo alifanyiwa upasuaji wa kuondoka uvimbe katika hospital ya Mwananyamala jijini Dar es salaam. Apumzike mahari pema peponi Amina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.