Bado Kidogo 2015
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 207
- 78
Wadau nimesikiliza clipp hiyo na kuona Mwigulu Nchemba ametupiwa shutuma kede kede na sijasikia hata moja ikijibiwa. Kwa kuwa Mwigulu ni member humu naomba atazame clipp hiyo kwa makini sana nakujionea mwenyewe jinsi alivyowekwa uchi!!
Nimeamini kabisa kwamba CDM ni walimu wazuri wa kuwaelimisha watu maovu ya CCM. Uongo sipendi sikilizeni wenyewe na kisha mtoe mawazo yenu.
Karibu uchangie baada ya kusikiliza ili kuepuka malumbano.
Nimeamini kabisa kwamba CDM ni walimu wazuri wa kuwaelimisha watu maovu ya CCM. Uongo sipendi sikilizeni wenyewe na kisha mtoe mawazo yenu.
Karibu uchangie baada ya kusikiliza ili kuepuka malumbano.
Last edited by a moderator: