kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni, Hivi ukiwa mtu mwenye aliki timamu na kujali ubinadamu unaweza kumsimamisha mlemavu na kumuonyesha mbele za watu kama sanamu, huyo jamaa alimwagiwa Tindikali kule Igunga na CCm wenyewe kama propaganda zao zilivyo kwani wale vijana wote wa CDM waliokuwa wamekamatwa kwa tuhuma za tukio hilo wameachiwa na hawana kesi inakuwaje CDM ihusike hapo? mi nafikiri imefikia wakati sasa tume za haki za binadamu zikemee udhalilishaji huu unaofanywa na CCM juu ya walemavu.