acer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 1,595
- 142
- Thread starter
- #21
Mh Mwigulu Nchemba ni kiongozi anayependwa sana wana CCM wenzake lakini pia ndiye kiongozi anayependwa zaidi sana na watanzania walio wengi tena hali na tabaka zote kutokana utendaji na Uchapakazi wake ulio na uadilifu sasa hili limezidi kudhihirishwa mpaka mh Zitto Kabwe akimpongeza kwa umakini na Uzalendo wake kwa taifaDanganya toto hiyo, ameshindwa kufuta misamaha ya kodi kwenye makampuni ynye kukwapua rasilimali zetu, ameshindwa kuwalipa wazee mafao yao, ameshindwa kufuatilia Trillions zilizoko Uswis kama wafanyavyo wakenya anakuja kujifagilia kiumbea umbea huku... Mara watamtoa nduki tu ...