malcom2
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 301
- 67
Habari za kuhaminika nchemba nusura hale kibano mitaa ya mviringo bar kaloleni,
akipita kwenye nyumba za watu yeye na wasira kuomba kura kitu ambacho ni kinyume na taratibu za tume.
Polisi ndio wamekuja kumsaidia baada ya kupiga simu ya kuomba msaada,
niko eneo la tukio vijana wa chadema si mchezo wako tayari kufa kuliko kuibiwa kura,pamoja na polisi kuja nilifikiri watakimbia ndo kwanza wamekomaa ile mbaya kweli makamanda wa arusha si mchezo.
akipita kwenye nyumba za watu yeye na wasira kuomba kura kitu ambacho ni kinyume na taratibu za tume.
Polisi ndio wamekuja kumsaidia baada ya kupiga simu ya kuomba msaada,
niko eneo la tukio vijana wa chadema si mchezo wako tayari kufa kuliko kuibiwa kura,pamoja na polisi kuja nilifikiri watakimbia ndo kwanza wamekomaa ile mbaya kweli makamanda wa arusha si mchezo.