Kimboka
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 353
- 163
Wakati wa kipindi cha uchaguzi wa igunga alipigiwa simu na mwananchi wake ambaye alimtaka haache kuwadanganya wanaigunga wakati iramba hakuna alichokifanya lakini mwananchi huyo aliambulia matusi kwa lugha ya kinyiramba kwamba(sikanikatambwila ni antu nasikaakutyela) yaani siwezi kuongea na mtu ambaye ajatawaza.pia mbunge huyu aliwahi kuwatukana wananchi wa urughu kwa kuwaambia nanukuu:ATAMULEKIPELA KURA ZANI SIKAMBYEZA INE NAZA NI MWANANZAGAMBA NAZEZEMALA.(hata msiponipa kura haisaidii kwa maana sasa mimi nimekuwa kidume nimenawiri) kwa ujumla huyu ndo nchemba madelu.