Mwigulu amedai walichunguza gari iliyomfuatilia Lissu. IGP anasema Lissu hakutoa taarifa Polisi. Je, nani mkweli?

Aliniacha hoi na majibu YA aliemtishia bastola MH. Nape huyu mtu ni wa kupuuzwa Kwa sababu haiwezekani katika hali ya kawaida raia kumtishia Mbunge Kwa bastola na asifahamike tena mbele za watu na vyombo vya habari.Nadhani akadanganye watoto wadogo wasiojua chochote.
 
Wakati mwingine ukiwasikiliza hawa jamaa unaweza kutamani kuwazaba vibao ili akili zao zikae sawa.Mtu anaeleza uongo bila soni hata kidogo.Ubaya wa madictetor wote duniani aliye salama ni yeye mwenyewe hawa wengine watautapika tu ukweli wakati ukifika
 
Mkuu barafu mimi ntatofautiana na wewe leo.
Kauli ya Mwigulu haina tofauti na ya IGP, wote wamepangiwa cha kusema na wameongea uongo kuliko ukweli waujuao.

Mwigulu kasema walilifuatilia gari wakabaini kuwa ni la Arusha kisha wakaconclude kwamba halihusiki na eti uchunguzi wao ndo ukafikia ukomo na sijaelewa alitumia chombo kipi cha kiuchunguzi kama si polisi kitengo ambacho kipo chini ya wizara yake na papo hapo boss wa kitengo anakanusha kuhusika na huo uchunguzi!?!
Nimekuelewa mkuu
 
..Mahojiano ya Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba aliyoyafanya jana na Clouds Media yameniacha na maswali mengi.

..Mh. Mwigulu amedai Polisi walifanya uchunguzi kuhusu gari lililoripotiwa kumfuatilia TL.

..Katika maelezo yake amedai namba aliyoripoti TL ni ya gari lililopo Arusha na halikuwahi kufika DSM ktk kipindi ambacho TL alidai lilikuwa likimfuatilia.

..Mimi nimeshangazwa kidogo na majibu hayo kwasababu IGP Sirro alipoulizwa kuhusu kuchunguza kama kulikuwa kuna gari inamfuatilia TL alidai hakuwa na taarifa hizo kwasababu TL hakufika kituo chochote cha Polisi kuripoti.

..Mpaka hapo sijui sasa tumuamini Waziri wa Mambo ya Ndani au tumuamini Mkuu wa Jeshi la Polisi.
Pumbuziiii zaoo
 
..Mahojiano ya Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba aliyoyafanya jana na Clouds Media yameniacha na maswali mengi.

..Mh. Mwigulu amedai Polisi walifanya uchunguzi kuhusu gari lililoripotiwa kumfuatilia TL.

..Katika maelezo yake amedai namba aliyoripoti TL ni ya gari lililopo Arusha na halikuwahi kufika DSM ktk kipindi ambacho TL alidai lilikuwa likimfuatilia.

..Mimi nimeshangazwa kidogo na majibu hayo kwasababu IGP Sirro alipoulizwa kuhusu kuchunguza kama kulikuwa kuna gari inamfuatilia TL alidai hakuwa na taarifa hizo kwasababu TL hakufika kituo chochote cha Polisi kuripoti.

..Mpaka hapo sijui sasa tumuamini Waziri wa Mambo ya Ndani au tumuamini Mkuu wa Jeshi la Polisi.
Hao wote ni wapangaji wa mauaji ndio maana wanaweweseka
 
Huyo mwenye ushahidi wa kuaminika hadi mbinguni ni muongo wa kutupa. Akikwambia mambo 10 usishike hata moja. Yuko kimaslahi sana hivyo hawezi kuwa mkweli KAMWE.

Na huyo polisiccm hawezi kufanya lolote kinyume cha boss wake

..Mahojiano ya Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba aliyoyafanya jana na Clouds Media yameniacha na maswali mengi.

..Mh. Mwigulu amedai Polisi walifanya uchunguzi kuhusu gari lililoripotiwa kumfuatilia TL.

..Katika maelezo yake amedai namba aliyoripoti TL ni ya gari lililopo Arusha na halikuwahi kufika DSM ktk kipindi ambacho TL alidai lilikuwa likimfuatilia.

..Mimi nimeshangazwa kidogo na majibu hayo kwasababu IGP Sirro alipoulizwa kuhusu kuchunguza kama kulikuwa kuna gari inamfuatilia TL alidai hakuwa na taarifa hizo kwasababu TL hakufika kituo chochote cha Polisi kuripoti.

..Mpaka hapo sijui sasa tumuamini Waziri wa Mambo ya Ndani au tumuamini Mkuu wa Jeshi la Polisi.
 
..Mahojiano ya Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba aliyoyafanya jana na Clouds Media yameniacha na maswali mengi.

..Mh. Mwigulu amedai Polisi walifanya uchunguzi kuhusu gari lililoripotiwa kumfuatilia TL.

..Katika maelezo yake amedai namba aliyoripoti TL ni ya gari lililopo Arusha na halikuwahi kufika DSM ktk kipindi ambacho TL alidai lilikuwa likimfuatilia.

..Mimi nimeshangazwa kidogo na majibu hayo kwasababu IGP Sirro alipoulizwa kuhusu kuchunguza kama kulikuwa kuna gari inamfuatilia TL alidai hakuwa na taarifa hizo kwasababu TL hakufika kituo chochote cha Polisi kuripoti.

..Mpaka hapo sijui sasa tumuamini Waziri wa Mambo ya Ndani au tumuamini Mkuu wa Jeshi la Polisi.
Mwigulu na Siro wanasahau kwamba polisi hushughulika na uhalifu wowote unaoripotiwa na usio ripotiwa, yote hiyo kazi ya polisi. Ndio maana kuna "Detectives" kwenye polisi. Kuna arrests nyingi polisi wetu hawa hawa wamefanya bila hata ya kuwepo na mtu aliyeripoti polisi, tatizo ni kwamba polisi wetu hawako independent!! Hawasimamii haki, wanaminya upande mmoja. Not professionals!
 
Mkweli ni comrade Mwigulu Nchemba ,licha ya utofauti wake wa itikadi na Lissu,ni nadra sana kukuta Nchemba anamshambulia Lissu kwa maneno,iwe nje ya bunge au ndani,pia Lissu vivyo hivyo.

Nchemba anaumia kwa ndani,Lissu ni "pot" wake,mtu wa nyumbani...dhamira inamsuta!!Siku ya kumpakia Lissu kwenda Nairobi,Nchemba ndio alitangulia kwa ndani kupokea mwili na kuungiza katika ndege!!

Mwigulu ndio mkweli,huyu mwingine anaweza kuwa ni "Masharti ya Kazi"
Acha ushamba mwili kwani ilikuwa maiti..! Zombi kweli wewe..
 
Lissu akiongea opposite anakamatwa badae kidogo na kuhojiwa, lakini ameongea habari ya kufuatwa na watu wasiojulikana wala sina uhakika kama walimwita athibitishe au la?
 
Back
Top Bottom