Mwigizaji na shoga maarufu wa Nollywood Nigeria afariki ghafla akimegwa!

Zinduna

JF-Expert Member
Nov 6, 2011
2,378
3,379
blogger-image-1866645765.jpg


Mwigizaji maarufu Charles Warren ambaye ni shoga anayeigiza sinema katika tasnia ya sinema ya Nollywood nchini Nigeria amefariki ghafla alhamisi iliyopita majira ya usiku katika Hospitali moja jijini Lagos nchini Nigeria.

Charles Warren alifariki ghafla wakati akiifanya mapenzi (akimegwa) na mwenzake aliyetajwa kwa jina la Ajah ambapo ghafla alianza kulalamika maumivu ya kiuno na baadaye maumivu hayo yakahamia mgongoni ambapo baadaye alipata haja kubwa mara nne ndani ya muda wa dakika 30.

Baadaye maumivu hayo yalihamia kifuani ambapo ilibidi awahishwe katika hospitali ya Safeway kwa matibabu zaidi. Rafiki yake aitwaye Ajah ambaye ndiye waliyekuwa wakifanya naye mapenzi alijaribu bila mafanikio kumfanyia masaji kifuani ili kumpunguzia maumivu lakini haikusaidia, Warren alifariki dunia usiku huo huo.

RIP Charles Warren.


========================================



Lord Have Mercy! Nigerian Popular Gay Actor Died From Complications which Arose from Anαl Sєx!
According To Julia's Blog , Few weeks after the sudden death of the Nollywood actor, stories have emanated over the real cause of his death. It was earlier gathered that the late actor died after complaining of anal pains, which he got after the embattled practice of ‘sodomy'. A source had earlier disclosed that he was one of the notable dudes in Nollywood, who did not give a damn over whose jaw is broken towards their lifestyle. Well we have always given the story a wave of the hand, till a blog visitor sent a confirmation of the information to us, alleging that he actually said goodbye to this world after having severe anal complications. Please read the message as yours truly cannot say some words.


Charles Warren, "While having s*x with his gay mate, he suddenly felt pains in his waist areas then complained on back aches, the pains got severe, he was said to have passed out stool 4 times within a fraction of 30mints, while the pains spreaded to his chest.
"He was rushed to Safeway Hospital, Ajah, Lagos and as his boyfriend massaged his chest in an effort to ease his agony, Charles breathe stopped!!!"

source
; Mills Music Entertainment
 
Jamani leo si valentini au??
Charles Warren, "While having s*x with his gay mate, he suddenly felt pains in his waist areas then complained on back aches, the pains got severe, he was said to have passed out stool 4 times within a fraction of 30mints, while the pains spreaded to his chest.
"He was rushed to Safeway Hospital, Ajah, Lagos and as his boyfriend massaged his chest in an effort to ease his agony, Charles breathe stopped!!!"

mimi hapa sijapaelewa @eiyer
 
Charles Warren, "While having s*x with his gay mate, he suddenly felt pains in his waist areas then complained on back aches, the pains got severe, he was said to have passed out stool 4 times within a fraction of 30mints, while the pains spreaded to his chest.
"He was rushed to Safeway Hospital, Ajah, Lagos and as his boyfriend massaged his chest in an effort to ease his agony, Charles breathe stopped!!!"

mimi hapa sijapaelewa @eiyer
Soma hapa chini
Charles Warren alifariki ghafla wakati akiifanya mapenzi (akimegwa) na mwenzake aliyetajwa kwa jina la Ajah ambapo ghafla alianza kulalamika maumivu ya kiuno na baadaye maumivu hayo yakahamia mgongoni ambapo baadaye alipata haja kubwa mara nne ndani ya muda wa dakika 30.

Baadaye maumivu hayo yalihamia kifuani ambapo ilibidi awahishwe katika hospitali ya Safeway kwa matibabu zaidi. Rafiki yake aitwaye Ajah ambaye ndiye waliyekuwa wakifanya naye mapenzi alijaribu bila mafanikio kumfanyia masaji kifuani ili kumpunguzia maumivu lakini haikusaidia, Warren alifariki dunia usiku huo huo.
 
Back
Top Bottom