Mwezi huashiria nini?Tanzania tumekosa kutafuta msamiati wa mwezi ili kutofautisha?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,753
3,305
Mwezi ni nguvu ya asili yenye kuleta giza ndiyo nishati inayotupatia wakati wa usiku.

Mwezi ni jumla ya wiki nne ambapo kuna siku takribani 30/31/29 na kwa mwaka mzima tunapata miezi 12.

Wazungu wametumia neno msamiati MOON kumaanisha nishati,vile vile wametumia neno MONTH ikimaanisha idadi ya siku.

Mfumo huu umeunganishwa na mambo ya uzazi kwa mwanamke,tumezoea kusema mwanamke bila ya kupata ada ya mwezi hana uzazi.

SWALI

Uzazi/vizazi unaweza kuathiriwa na hii terminology ya mwezi?
 
Mwezi ni nguvu ya asili yenye kuleta giza ndiyo nishati inayotupatia wakati wa usiku.

Mwezi ni jumla ya wiki nne ambapo kuna siku takribani 30/31/29 na kwa mwaka mzima tunapata miezi 12.

Wazungu wametumia neno msamiati MOON kumaanisha nishati,vile vile wametumia neno MONTH ikimaanisha idadi ya siku.

Mfumo huu umeunganishwa na mambo ya uzazi kwa mwanamke,tumezoea kusema mwanamke bila ya kupata ada ya mwezi hana uzazi.

SWALI

Uzazi/vizazi unaweza kuathiriwa na hii terminology ya mwezi?
Ukifuatilia haya mambo kingereza ndo kimezingua zaidi.
 
Mwezi ni nguvu ya asili yenye kuleta giza ndiyo nishati inayotupatia wakati wa usiku.

Mwezi ni jumla ya wiki nne ambapo kuna siku takribani 30/31/29 na kwa mwaka mzima tunapata miezi 12.

Wazungu wametumia neno msamiati MOON kumaanisha nishati,vile vile wametumia neno MONTH ikimaanisha idadi ya siku.

Mfumo huu umeunganishwa na mambo ya uzazi kwa mwanamke,tumezoea kusema mwanamke bila ya kupata ada ya mwezi hana uzazi.

SWALI

Uzazi/vizazi unaweza kuathiriwa na hii terminology ya mwezi?

WEE UTAKUWA MWEZI MCHANGA.
 
Back
Top Bottom