...Hehehe nilikuja kwa speed kali sana ili kukupongeza....nilidhani umepata nanihii LOL!....Hongera zako...hakuna kitu kizuri duniani kama kuwa na furaha moyoni maana saa zote una tabasamu la nguvu....unaamka una furaha, siku nzima una furaha unapanda kitandani una furaha....Mambo ya kimaisha yanapokunyookea kwenye kila idara na wote uwapendao na walio karibu nawe wakiwa na furaha basi furaha yako huongezeka zaidi. Msalimie baby.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.