Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Wanakijiji cha Kigarama kata ya Kanyigo wilaya ya Missenyi mkoa wa Kagera Bw. Ijumba ni mtu ambaye anawakatisha wananchi waliomchagua kwa kuwa na vituko vingi vya ajabu kiasi cha kukatisha tamaa wananchi wake. Baada ya kuwahoji ni kuwa kwa sasa akigombea tena hapati kura hata moja. Wakasema walimchagua pamoja na mapungufu yake wakitarajia atajirekebisha maana hawaipendi CCm kiasi kwamba hata angesimama chizi kwa tiketi ya CDM angeshinda mana hawaipendi CCM. Lakini mwenyekiti huyu anawakatisha tamaa wananchi na kufikia hatua ya kutaka kujua kama kuna utaratibu wa kumuondoa na kufanya uchaguzi mpya.
Mwenyekiti huyu amesharipotiwa mara mbili na redio Karagwe kwa kosa moja la aibu ambalo kulitaja naona aibu. Chanzo kikubwa cha kurukwa na akili ilikuwa ni pombe lakini baada ya kelele nyingi kutoka kwa viongozi wa kijiji wakiwemo madiwani...........akaaacha pombe na akatangza kuokoka............lakini kwa sasa kuanzia asubuhi..........ameweka Viroba na Nkonyagi ya asili ya Kagera.
Basi akinywa ni matatizo matupu. Wadau wengi wa maendeleo wanapoenda kijijini kwake hataki kutoa ushirikiano mpaka apewe posho. Akinyimwa anaondoka. Mfano Shirika moja mkoani hapo lilikwenda kutoa huduma ya watu kupima virusi kwa hiari lakini alisema ili aweze kushiriki kikamilifu inabidi apewe posho. Hii iliniudhi sana na matokeo yake mashirika yataanza kuiruka kata hiyo katika suala la maendeleo sababu ya kiongozi huyu.
Wana CDM pamoja na kuwa tuko kwenye mapambano ya Ukombozi..........tusikae kimya kwa wale ambao wanaanza kukichafua chama na kuwa na mifano ya ajabu. Inapofikia wanakijiji wanasema hawana jinsi na wanashindwa wafanyeje ili wapate kiongozi mwingine. Wana CCM wanatumia nafasi hiyo kwa kuwaambia wanakijiji kuwa Upinzani ni ngumu kuwa na kiongozi mwadilifu. Hii inaniudhi sana. Wakikanusha kauli hiyo wanaambiwa "muoneni mwenyekiti wenu" hii inakuwa mbaya sana.
Pendekezo langu : Viongozi wa CDM wilaya au mkoa waingilie kati hali hii. Wakawasilikilize wananchi wa kjiji hiki maana wao wanasema wana kura za CDM mkononi kuanzia Kijiji, Udiwani, Ubunge na Urais ...lakini wanakatishwa tamaa na baadhi ya viongozi hawa. Ni aibu.........CDM jitahidini hadhi ya chama isiendelee kushuka.
Mwenyekiti huyu amesharipotiwa mara mbili na redio Karagwe kwa kosa moja la aibu ambalo kulitaja naona aibu. Chanzo kikubwa cha kurukwa na akili ilikuwa ni pombe lakini baada ya kelele nyingi kutoka kwa viongozi wa kijiji wakiwemo madiwani...........akaaacha pombe na akatangza kuokoka............lakini kwa sasa kuanzia asubuhi..........ameweka Viroba na Nkonyagi ya asili ya Kagera.
Basi akinywa ni matatizo matupu. Wadau wengi wa maendeleo wanapoenda kijijini kwake hataki kutoa ushirikiano mpaka apewe posho. Akinyimwa anaondoka. Mfano Shirika moja mkoani hapo lilikwenda kutoa huduma ya watu kupima virusi kwa hiari lakini alisema ili aweze kushiriki kikamilifu inabidi apewe posho. Hii iliniudhi sana na matokeo yake mashirika yataanza kuiruka kata hiyo katika suala la maendeleo sababu ya kiongozi huyu.
Wana CDM pamoja na kuwa tuko kwenye mapambano ya Ukombozi..........tusikae kimya kwa wale ambao wanaanza kukichafua chama na kuwa na mifano ya ajabu. Inapofikia wanakijiji wanasema hawana jinsi na wanashindwa wafanyeje ili wapate kiongozi mwingine. Wana CCM wanatumia nafasi hiyo kwa kuwaambia wanakijiji kuwa Upinzani ni ngumu kuwa na kiongozi mwadilifu. Hii inaniudhi sana. Wakikanusha kauli hiyo wanaambiwa "muoneni mwenyekiti wenu" hii inakuwa mbaya sana.
Pendekezo langu : Viongozi wa CDM wilaya au mkoa waingilie kati hali hii. Wakawasilikilize wananchi wa kjiji hiki maana wao wanasema wana kura za CDM mkononi kuanzia Kijiji, Udiwani, Ubunge na Urais ...lakini wanakatishwa tamaa na baadhi ya viongozi hawa. Ni aibu.........CDM jitahidini hadhi ya chama isiendelee kushuka.