jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,800
- 7,704
Watanzania wenzangu naomba niwaaulize, hivi Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya anapata wapi jeuri ya kudharau maamuzi (judgement) ya Mahakama Kuu (High court)?
Eti badala ya kukazia Hukumu ya Mahakama Kuu, yeye ananzisha mashauri upya! Kweli hii ni haki?
Eti badala ya kukazia Hukumu ya Mahakama Kuu, yeye ananzisha mashauri upya! Kweli hii ni haki?