Mwenyekiti CHADEMA Temeke adai alitekwa na mwanaCHADEMA mwenzake, CHADEMA yataka Polisi ichunguze

yetu macho, wacha tusikie malumbano. Ila ukweli utabaki palepale kuwa Bwana Yona alitekwa na watu waliojifanya Polisi ila walikompeleka siyo Kituo cha Polisi. Baadaye tutajua tu jeshi la utekaji latoka wapi. SUBIRI UONE
 
wanaolipwa lumumba utawajua tu kwa idadi ya comments zao,pole kwa kuwa mtumwa wa chama cha mizigo
Mkuu, bora ya mie ninayetetea chama changu, chama tawala, chama kikubwa barani Afrika, chama cha wastaarab, chama mama. Kuliko wewe unashabikia saccos ya akina Mbowe na Slaa
 
nadhani matukio ys namna hii yataisha pale tu viongozi wa CDM pamoja na wafuasi wao watakapoacha kunywa GONGO.
Alaaniwe Dr. Slaa kwa kuhamasisha watu kunywa GONGO.
 
Kimemuwowa nani? dadako? Tukifuatilia computer ID yako tukakujua na tukakupeleka mahakamani ukatoe ushahidi jinsi chadema inavyoua watu uhalo utakutoka mpaka kwenye viatu, msipende kuropoka, wengine tunatafuta mashahidi hapa!
Soma vizuri. Si kukurupuka tu
 
Nimemsikia namie "m..kumchuzi" eti...amasema "walisema kwnini unamuunga mono zitto" mbona hakutangaza watesi aliowataja ulimboka! auanaowalalamikia Kibanda!! Hizo ni propaganda za kipumbavu ninimezidi kumdhrau Kova!! Kumbe huu mcezo unachewa na Mhakama,Zitto, Polisi, Ikulu!! CCM hata wafanyeje wtanzania hawatarudi nyuma!

Chezea touch screen wewe!
 
ugaidi ni hatari sana

Kwanini ZZK hana ata kesi moja za hayo matukio uliyosema? Au yeye si mpinzani?

Alafu Kule Tabora mliambiwaje juu ya madai yenu ya Ugaidi

Mmekua mnapambana Na wakosoaji wenu kwa kila aina mbaya ya mbinu!

Msiombee matatizo ikiwa bado hujawahi kuona Ata vita au hayo matukio ya Ugaidi hayajakukuta Live! Waulize wakenya watakuambia ni shida Kiasi walipata!

Alafu Leo umekazana Ugaidi Ugaidi! Acha propaganda zako chafu! Uko wapi Ugaidi Wa Cuf? Viko wapi visu Na majambia ya Cuf yalioingizwa kwa malengo ya Ugaidi?

Uko wapo Ugaidi Wa Mzee Marehemu Madiba?
 
UKITAKA KUJUA KWAMBA KOVA HAFAI KUWA KATIKA NAFASI ALIYONAYO SOMA HII, JANA KWENYE TAARIFA YA HABARI ALISEMA YONA ALITEKWA NA BAADA YA KUTEKWA ALIFUNGWA KITAMBAA CHEUSI KICHWANI LAKINI UKIANGALIA MAHOJIANO KATI YA YONA NA WAANDISHI NA YEYE ANASEMA ALIVULIWA shirt wakamfunga usoni. unaweza ukaona uongo wa kova

Mtekwa anasema alifika na kunyanyuliwa moja kwa moja lakini KOV anasema walifika kwanza wakaongea kwa muda ndipo wakamnyanua

Huyu mkiti wa cdm tmk alikuwa anamuunga mkono waziwazi Zzk, km Kibanda tu baada ya kuitilafiana na Mbowe yakamkuta yaliyomkuta, tafakari, chukua hatua!!
 
KAMA ni mfuatiliaji mwenendo wa siasa ndani ya chadema kuna tuhuma nyingi za watu kutishwa kwa meseji, kwa simu hii inatishia uhai wa chama. ushahidi hata hapa jf kuna watu wamekuwa wakisema wazi kwamba zito aende arusha akafanye mkutano aone kitakochotokea huwezi kuignore kauli hizo kama hazina msingi kutokana na kinachotokea hivi sasa
hembu angalia
1, kifo cha chacha wangwe hadi leo uchunguzi wake una utata na kauli za hivi karibuni ni kuwa mauaji yake huenda yalipangwa
2. kupigwa kwa mwenyekiti wa chadema temeke bwana yona na mwanachama mwenzake wa chadema ambae huenda anamaagizo from somewhere.
3. kuna wanachama na viongozi wa chadea wanakesi inaendelea kule kanda ya tabora ya kudhuru kwa tindikali kule igunga
4. kuna kiongzi wa usalama wa chadema LWAKATARE ambae alionekana kwenye mkanda wa video wenye utata kuhusika kutaka kumteka mhariri bwana msaki
5. bwn zito kuwapeleka baadhi ya wanachama na viongozi wa chadema mahakamani kwa kutishia maisha na kumchafua motandaoni je hii ni sawa
6.kupigwa kwa bwana samso mwigamba katika kikao kilichpfanyika arusha na kunyanganywa labtop yake na wanachama wenzake kule arusha
7. kupigwa kwa mjumbe kutoka kigoma bwna shabani baada ya kusadikika kuwasiliana na watu wazito
note
hizi ni dalili kuwa ugaidi unainyemelea chadema, chama kijitafakari na kuwaonya wanachama wake kwani hata kama chama hakihusiki kitapata damage kubwa kwa wanachama wake kuhusika katika ugaidi
CHADEMA wanahusika msituletee za kuleta hapa.
images.jpg
 
Lakini bado inabakia kuwa
-Alitekwa
-Alifungwa usoni
-aliingizwa kwenye gari
-Alipigwa na kutupwa
 
Uongo unaosema wewe hujauweka wazi, we sema tu! Najua unataka kusema Kova muongo kusema mtekwaji alisema watekaji walikuwa wanamuuliza kwanini anamuunga mkono Zitto? Hilo shati au kitambaa ni sababu tu maana huwezi kuliita shati kama halijashonwa na kitambaa.

Body without head
 
Hivi baada ya maelezo ya afande Kova, kuna haja ya mjadala hapa? Sie tunasubiri kuona huyo memba wa CHADEMA na washirika wake wakikamatwa,kesi kuendeshwa kikamilifu, na sheria (mahakama) kuhitimisha suala zima. Vinginevyo, itabakia kuwa muendelezo wa usanii huku polisi wakiendelea kujiadhiri kwa kukubali kuingizwa kwenye ushabiki unaoathiri taswira yao ya kiutendaji.

Kwanza mimi binafsi huwa sikubaliani na tabia ya polisi kukimbilia kuzungumza mbele ya waandishi wa habari kuhusu matukio ya uhalifu waliyoyanasa na kuishia hapo bila kuleta mrejesho walivyofikisha matukio hayo kwenye hitimisho la kisheria mahakamani. Ni kama usanii wa aina fulani hivi. Kwenye nchi makini, polisi huheshimika kwa idadi ya matukio waliyofanikiwa kudhibiti kabla hayajatokea na, zaidi, yale waliyofanikisha kushinda kesi mahakamani na wahusika kuchukuliwa hatua stahili. SI kwa kusema tu: tumekamata jambazi sugu, gaidi, ...
 
basi endelea kuwaamin akina kova na na akna nape!

Ndugu yangu Jig Saw Fit naona unauweleko mzuri sana. Ila nikueleze kuwa People's power haikuanzia CHADEMA ukisoma historia mwanzilishi wake ni HITLER, na magwanda ya kombati hayakuanzia CHADEMA mwanzilishi wake HITLER na ukitaka kujua historia ya Hitler tazama yanayoendela sasa ndani yenu. Wafuasi wengi, mikutano kwa wingi, lakini pia ugaidi kwa wingi, kutaka kuchukua dola kwa wingi, na walio wengi walikuwa mbumbumbu wa malengo ya Hitler. Ndugu Mpevu aliposema hawaamini tena CHADEMA anaangalia matukio. Na Hitler alikuwa mwepesi kusingizia watawala kumhujumu mkumbe anafanya mwenyewe. Usijali kama CHADEMA watafanya wenyewe wasingizie Ikulu, Kova, Mahakama na wengineo. Toka lini CDM wakakosa imani na mahakama ambapo ndipo kwenye wanasheria machachari? Chunguza maandiko na itafakari Historia
 
Back
Top Bottom