Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Samahanini kwa usumbufu wakuu.mimi ni mmoja wa watu tulioitwa kwenye usahili wa idara ya uhamiaji,tarehe yangu niliyopangiwa ni 17/july,nilikua nauliza,huko huwa wanauliza maswali gani,na je kuna mchujo mwingine unapita huko au mtu ukisha itwa kwenye interview ndio tayari ushapata ajira,na je kuna kupigishwa kwata tena kama jwtz au wao ni training ya kawaida tu?ndio hayo tu wakuu,naomba anae jua anisaidie.