Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Huna shida wewe....jamani niko serious
Huna shida wewe....jamani niko serious
Mwambie maana anadhani mimi ni wa mchezo mchezo....khaaa.,we ndo hauko serious!..bado kumbe hujatuma namba tu?....acha woga,shuka lile la mmasai umepewa ofa na Mtambuzi;na vocha unabaki nayo!
.....upendweje sasa tena!
direct messagedm ni nini?
Mcheki mtambuzi hapo jui,utapata msaada kwelidirect message
ameshanijibuMcheki mtambuzi hapo jui,utapata msaada kweli