ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,838
Nimejaribu kutafuta watu walioitwa mafisadi, wezi na wapiga Dili walioitwa mbaroni na kuhukumiwa na ile waliita Mahakama ya mafisadi sijaona hata mmja.
Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake naomba mnitakie mafisadi mliowatia mbaroni awamu yenu kwa sababu naona kama tulipogwa na kudanganywa kama Watoto wadogo.
Naongea haya kwa sababu aoka awamu ya 6 imeingia madarakani mafisadi ambao imewahukimu walikuwa ni wale waliiba pesa awamu ya 5 ila waliachwa na Jiwe na wapambe wake.
Mifano ya hai ni aliyekuwa DED WA Arusha Dr Pima, Sabaya mdogo Watumishi mbalimbali na sasa Kigogo wa Udart.
===
Washtakiwa hao walikuwa wanakabiliwa na mashtaka 15 yakiwamo kuisababishia UDART hasara ya Sh. milioni 750, kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji fedha haramu, kuwasilisha nyaraka za uongo na kughushi.
Katika shtaka la kuongoza genge la uhalifu, washtakiwa wanadaiwa katika nyakati tofauti kati ya Mei 25 na Julai 10, 2016 katika maeneo tofauti Dar es Salaam, waliongoza genge la uhalifu na kujipatia Sh. milioni 750 kutoka akaunti ya UDART, Benki ya NMB Tawi la Bank House.
Washtakiwa hao pia walikuwa wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kughushi, mawili ya kuwasilisha nyaraka za uongo na mashtaka tisa ya utakatishaji fedha haramu.
Nipashe
====
My Take
Hongera sana Rais Samia Kwa kuwashughulikia mafisadi waliolelewa na awamu ya 5 Kwa vitendo.
View: https://youtu.be/GZb4c7698iI?si=qTdJsJn_drqVU-Xj
Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake naomba mnitakie mafisadi mliowatia mbaroni awamu yenu kwa sababu naona kama tulipogwa na kudanganywa kama Watoto wadogo.
Naongea haya kwa sababu aoka awamu ya 6 imeingia madarakani mafisadi ambao imewahukimu walikuwa ni wale waliiba pesa awamu ya 5 ila waliachwa na Jiwe na wapambe wake.
Mifano ya hai ni aliyekuwa DED WA Arusha Dr Pima, Sabaya mdogo Watumishi mbalimbali na sasa Kigogo wa Udart.
===
Katika shtaka la kuongoza genge la uhalifu, washtakiwa wanadaiwa katika nyakati tofauti kati ya Mei 25 na Julai 10, 2016 katika maeneo tofauti Dar es Salaam, waliongoza genge la uhalifu na kujipatia Sh. milioni 750 kutoka akaunti ya UDART, Benki ya NMB Tawi la Bank House.
Washtakiwa hao pia walikuwa wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kughushi, mawili ya kuwasilisha nyaraka za uongo na mashtaka tisa ya utakatishaji fedha haramu.
Nipashe
====
My Take
Hongera sana Rais Samia Kwa kuwashughulikia mafisadi waliolelewa na awamu ya 5 Kwa vitendo.
View: https://youtu.be/GZb4c7698iI?si=qTdJsJn_drqVU-Xj