Mwenye kuifahamu BCom-ISM [Information Systems Management]

Vodka

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
906
96
Mwenye ufahamu kuhusu kozi hii, naomba anidadafulie inahusu nini? Na inatofauti gani na BCom nyingine? Kwanini ni kozi ya muda mrefu sana kumalizika tofauti na BCom zingine za miaka mitatu mitatu yenyewe ni miaka 5.

Mwenye kuifahamu tafadhali.
 
Nimeona kwenye kitabu cha TCU mwaka huu.

Sio kwel dogo, i have a friend anaisoma hiyo kitu pale UDOM. Ni miaka mitatu tu. Ingawa siijui jui sana sidhan kama ina tofauti sana na IT ya kawaida.

Over
 
Ni miaka mi3 tu dogo wanachapa code za kibusness kama IT tu haina jipya
 
Sio kweli, i have a friend anaisoma hiyo kitu pale UDOM. Ni miaka mitatu tu. Ingawa siijui jui sana sidhan kama ina tofauti sana na IT ya kawaida.

Over
Mbona mwaka huu wameandika miaka 5, hebu angalieni vizuri
 
Kweli ipo ya miaka mi5 hata mm nimeiona kwenye kitabu cha TCU ila sijajua tofauti ni ipi

TCU wanaichanganya sana hii coz ipo unique na sometimes wanaita Information Management na mara iitwe Management Science swala hili limefanya watu wachanganye habari na kujikuta wamechagua kitu kimoja kwa majina mawili tofauti ila full name yake Bcom Ms(information system) kundi ambalo lilichagua Informatio system walijikuta hawana Admision hadi leo sielewi watagraduate kwa jina gani hata ARIS wamekuwa hawatambuliki na kulazimika kupeleka matokeo privately.Kuna dada anayesoma hii coz pale UDOM ndiye kanifanya niyajue yote nilipokuwa namsaidia kufanya follow up baada ya kuchagua hiyo phrase kwenye bracket na kuhisi ni coz independently lingine pale UDOM coz hii haina walimu wanategemea part time hivyo ujipange kwa kufundishwa kwa mtindo wa EXTREME kama vijana wanavyofanyiwa sasa.
 
usitishike pale kwenye duration imekosewa ni miaka 3, then inadeal na information management na sio information technology direct
 
mimi nina roomate anasoma course hii ni miaka mitatu na imegawanyika kama ifuatavyo

-semester ya kwanza na ya pili utasoma kama bcom wengine yani acounting, marketing, human resource vyote utasoma

-mwaka wa pili yani semester ya tatu utaanza kumix kwa kusoma database na information system kama introduction

- kuanzia semester ya 3 kuendelea utaanza kuspecialize kwenye course yako na kuanza kusoma programming mambo ya visual

Kusema ukweli walimu extreme wanafundishwa sana tu course inamalizwa ndani ya wiki 2 ila nafkiri tatizo linaweza kuisha maana sio kwamba walimu hawapo wapo sema hawana makubaliano na chuo
-bcom ms imekua grouped na bcom zengine so hata college wameekwa social science wakati walimu wanaopaswa kuwafundisha wapo informatics na walimu wa informatics wanademand mshahara twice kuja kufundisha huku social sababu hio ikapelekea kutafutwa part timers walimu toka sua na udsm

Ila by the way ni course nzuri na nafkiri itakua kitanzi kwa wana it katika organisation maana hawa jamaa ni wafanyabiashara wana IT wapo fiti pande mbili wana soko sana kwenye ajira na hapa udom wanachukuliwa wachache kama 24 tu kwa mwaka
 
mimi nina roomate anasoma course hii ni miaka mitatu na imegawanyika kama ifuatavyo
-semester ya kwanza na ya pili utasoma kama bcom wengine yani acounting, marketing, human resource vyote utasoma
-mwaka wa pili yani semester ya tatu utaanza kumix kwa kusoma database na information system kama introduction
- kuanzia semester ya 3 kuendelea utaanza kuspecialize kwenye course yako na kuanza kusoma programming mambo ya visual
Kusema ukweli walimu extreme wanafundishwa sana tu course inamalizwa ndani ya wiki 2 ila nafkiri tatizo linaweza kuisha maana sio kwamba walimu hawapo wapo sema hawana makubaliano na chuo
-bcom ms imekua grouped na bcom zengine so hata college wameekwa social science wakati walimu wanaopaswa kuwafundisha wapo informatics na walimu wa informatics wanademand mshahara twice kuja kufundisha huku social sababu hio ikapelekea kutafutwa part timers walimu toka sua na udsm
Ila by the way ni course nzuri na nafkiri itakua kitanzi kwa wana it katika organisation maana hawa jamaa ni wafanyabiashara wana IT wapo fiti pande mbili wana soko sana kwenye ajira na hapa udom wanachukuliwa wachache kama 24 tu kwa mwaka
nakushukuru kwa hilo,maana hawa tcu hawajielewi kbsa
 
TCU wanaichanganya sana hii coz ipo unique na sometimes wanaita Information Management na mara iitwe Management Science swala hili limefanya watu wachanganye habari na kujikuta wamechagua kitu kimoja kwa majina mawili tofauti ila full name yake Bcom Ms(information system) kundi ambalo lilichagua Informatio system walijikuta hawana Admision hadi leo sielewi watagraduate kwa jina gani hata ARIS wamekuwa hawatambuliki na kulazimika kupeleka matokeo privately.Kuna dada anayesoma hii coz pale UDOM ndiye kanifanya niyajue yote nilipokuwa namsaidia kufanya follow up baada ya kuchagua hiyo phrase kwenye bracket na kuhisi ni coz independently lingine pale UDOM coz hii haina walimu wanategemea part time hivyo ujipange kwa kufundishwa kwa mtindo wa EXTREME kama vijana wanavyofanyiwa sasa.

Hapo kwenye red,huyo dada anaitwa nani?
 
My no mwaka watatu nasoma course hiyo pale udom karibu tupige business and Information system management(combination of hardware,software,people,telcommunication and databases) how to manage and develop system
 
Back
Top Bottom