Wakuchongwa hao!
Hao simba wanatoa tiGo Simba wa zanzibar!!aende serengeti afanye hivyo kama hata nywere tutaziona!!
hakuna cha simba tigo wala voda fasta.....habari ndio hiyo......hawa jamaa ukijua tabia zao hawakushindi tatizo sisi huwa tunatanguliza woga mbele....
hakuna cha simba tigo wala voda fasta.....habari ndio hiyo......hawa jamaa ukijua tabia zao hawakushindi tatizo sisi huwa tunatanguliza woga mbele....