Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Umeme hatujui ni wa mgao?maana mchana maeneo mengine hakuna,asubuhi unakatwa saa tatu unarudi,jioni unakatwa mida ya menu,yaani hata taarifa ya habari inakuwa mgogoro.Umeme yaani unadim kama taa za dimlight! Mzee wa megawat alituambia tutakuwa na umeme wa uhakika je,huu ndio umeme wa uhakika?