M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 2,866
- 4,768
Ni kweli, Mkuu wa Wilaya hana uwezo wa kuajiri wala kufukuza mfanyakazi yeyote.Lakini ni yeye mwenye jukumu la kuhakikisha kwamba mifumo ya utawala katika wilaya yake inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi. Kupitia yeye Mkurugenzi wa wilaya (mwenye mmalaka kisheria ),Mwalimu angefukuzwa kazi.
Lakini yeye pia ni kiongozi ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya. kulinda ustawi wa watoto ni jukumu lake pia
Hawa ma DC wanacholinda zaidi ni vyama vya Upinzani visistawi kwenye wilaya yake.
Lakini yeye pia ni kiongozi ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya. kulinda ustawi wa watoto ni jukumu lake pia
Hawa ma DC wanacholinda zaidi ni vyama vya Upinzani visistawi kwenye wilaya yake.