Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Hii vurugu inaendelea maeneo ya Nyakato National karibu na kituo cha polisi cha Mwatex, magari yamezuiliwa. Tutaendelea kuwajulisha nini chanzo cha vurugu, ila habari nyepesi ni kwamba kuna kundi fulani lililo rasmi linapigana na kundi jingine lililo rasmi. Nitawajulisheni baada ya kupata habari kamili vijana wangu ndo wameenda kwenye tukio.