ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Wana Jamvi habarini.
Leo nimerudi na taarifa kamili baada ya kutoa angalizo, ambao wale wanaoshabikia CDM kwa uanfiki waliwaka sana kwa kuwa niliwataja madiwani na wabunge wa CDM hapa mkoani Mwanza.
Katika thread niliyoanzisha, kuwakumbusha wabunge wangu kuingilia kati matengenezo ya barabara ya NYASAKA-MZUNGUKO, ambapo nilimlaum mbunge kukaa kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi juu ya kipande cha kutoka KONA YA BWIRU-NYASAKA/KILORELI.
Sasa hali imekuwa mbaya zaidi baada ya wiki iliyopita mama mmoja kujifungua BIG BITE akipelekwa hospital. Ni ubovu wa kipande hicho kilichopelekea hali hiyo.
Leo madereva na matajiri wao, wamegoma kutoa huduma kwa madai kuwa wamechoka na services za magari yao kila siku iendayo kwa Mungu. Sasa nani wa kuwalaumu?
HIGHNESS KIWIA-Mbunge CDM halaumiki katika hili? kwanza ni kwa kuuchuna, kukaa bila kuwapa taairfa wananchi juu ya hali hiyo, lakini ni kwa kukosa huduma za daldala, ambapo wengi wataumia.
Kwa kumbukumbu zaidi, naambatanisha na thread ya kwanza ili tujikumbushe mjadala ulivyokuwa.
NAIPENDA CDM, LAKINI SIWAPENDI VIONGOZI WA CDM WASIOWAJIBIKA KWA WANANCHI, KWANI HAWANA TOFAUTI NA WA CCM TUNAOWAPINGA KILA SIKU.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nge-chadema-mwanza-msidhalilishe-chadema.html
Leo nimerudi na taarifa kamili baada ya kutoa angalizo, ambao wale wanaoshabikia CDM kwa uanfiki waliwaka sana kwa kuwa niliwataja madiwani na wabunge wa CDM hapa mkoani Mwanza.
Katika thread niliyoanzisha, kuwakumbusha wabunge wangu kuingilia kati matengenezo ya barabara ya NYASAKA-MZUNGUKO, ambapo nilimlaum mbunge kukaa kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi juu ya kipande cha kutoka KONA YA BWIRU-NYASAKA/KILORELI.
Sasa hali imekuwa mbaya zaidi baada ya wiki iliyopita mama mmoja kujifungua BIG BITE akipelekwa hospital. Ni ubovu wa kipande hicho kilichopelekea hali hiyo.
Leo madereva na matajiri wao, wamegoma kutoa huduma kwa madai kuwa wamechoka na services za magari yao kila siku iendayo kwa Mungu. Sasa nani wa kuwalaumu?
HIGHNESS KIWIA-Mbunge CDM halaumiki katika hili? kwanza ni kwa kuuchuna, kukaa bila kuwapa taairfa wananchi juu ya hali hiyo, lakini ni kwa kukosa huduma za daldala, ambapo wengi wataumia.
Kwa kumbukumbu zaidi, naambatanisha na thread ya kwanza ili tujikumbushe mjadala ulivyokuwa.
NAIPENDA CDM, LAKINI SIWAPENDI VIONGOZI WA CDM WASIOWAJIBIKA KWA WANANCHI, KWANI HAWANA TOFAUTI NA WA CCM TUNAOWAPINGA KILA SIKU.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nge-chadema-mwanza-msidhalilishe-chadema.html