Mwanza: Daladala za Nyasaka Mzunguko, zagoma kutoa huduma

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
Wana Jamvi habarini.

Leo nimerudi na taarifa kamili baada ya kutoa angalizo, ambao wale wanaoshabikia CDM kwa uanfiki waliwaka sana kwa kuwa niliwataja madiwani na wabunge wa CDM hapa mkoani Mwanza.

Katika thread niliyoanzisha, kuwakumbusha wabunge wangu kuingilia kati matengenezo ya barabara ya NYASAKA-MZUNGUKO, ambapo nilimlaum mbunge kukaa kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi juu ya kipande cha kutoka KONA YA BWIRU-NYASAKA/KILORELI.

Sasa hali imekuwa mbaya zaidi baada ya wiki iliyopita mama mmoja kujifungua BIG BITE akipelekwa hospital. Ni ubovu wa kipande hicho kilichopelekea hali hiyo.

Leo madereva na matajiri wao, wamegoma kutoa huduma kwa madai kuwa wamechoka na services za magari yao kila siku iendayo kwa Mungu. Sasa nani wa kuwalaumu?

HIGHNESS KIWIA-Mbunge CDM halaumiki katika hili? kwanza ni kwa kuuchuna, kukaa bila kuwapa taairfa wananchi juu ya hali hiyo, lakini ni kwa kukosa huduma za daldala, ambapo wengi wataumia.

Kwa kumbukumbu zaidi, naambatanisha na thread ya kwanza ili tujikumbushe mjadala ulivyokuwa.

NAIPENDA CDM, LAKINI SIWAPENDI VIONGOZI WA CDM WASIOWAJIBIKA KWA WANANCHI, KWANI HAWANA TOFAUTI NA WA CCM TUNAOWAPINGA KILA SIKU.


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nge-chadema-mwanza-msidhalilishe-chadema.html
 
Hivi mwenye dhamana ya kujenga barabara ni serikali au mbunge? Nani anakusanya kodi?
 
Wana Jamvi habarini.

Leo nimerudi na taarifa kamili baada ya kutoa angalizo, ambao wale wanaoshabikia CDM kwa uanfiki waliwaka sana kwa kuwa niliwataja madiwani na wabunge wa CDM hapa mkoani Mwanza.

Katika thread niliyoanzisha, kuwakumbusha wabunge wangu kuingilia kati matengenezo ya barabara ya NYASAKA-MZUNGUKO, ambapo nilimlaum mbunge kukaa kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi juu ya kipande cha kutoka KONA YA BWIRU-NYASAKA/KILORELI.

Sasa hali imekuwa mbaya zaidi baada ya wiki iliyopita mama mmoja kujifungua BIG BITE akipelekwa hospital. Ni ubovu wa kipande hicho kilichopelekea hali hiyo.

Leo madereva na matajiri wao, wamegoma kutoa huduma kwa madai kuwa wamechoka na services za magari yao kila siku iendayo kwa Mungu. Sasa nani wa kuwalaumu?

HIGHNESS KIWIA-Mbunge CDM halaumiki katika hili? kwanza ni kwa kuuchuna, kukaa bila kuwapa taairfa wananchi juu ya hali hiyo, lakini ni kwa kukosa huduma za daldala, ambapo wengi wataumia.

Kwa kumbukumbu zaidi, naambatanisha na thread ya kwanza ili tujikumbushe mjadala ulivyokuwa.

NAIPENDA CDM, LAKINI SIWAPENDI VIONGOZI WA CDM WASIOWAJIBIKA KWA WANANCHI


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nge-chadema-mwanza-msidhalilishe-chadema.html

mie sikumbana na adha hiyo, kwani niliamka 5:30hrs kuja ofisini, nilipata gari baada ya kutembea hadi kona ya Bwiru, lakini niliona gari mbali za ruti hiyo zikiwa kazini. Taarifa hizi nimezipata toka kwa jamaa yangu aliyechelewa kufika kazini kwa kukosa usafiri hadi aliposhituka na kuchukua pikipiki. Traffic Officers wako eneo hilo, likitokea lolote la msingi nitawajulisha.

 
Hivi mwenye dhamana ya kujenga barabara ni serikali au mbunge? Nani anakusanya kodi?
'

anayekusanya kodi ni serikali, lakini anayehakikisha kodi inatumika kwa maslahi ya wananchi ni mwakilishi wa wananchi ambapo ni mbunge/diwani. swali lingine
 
'

anayekusanya kodi ni serikali, lakini anayehakikisha kodi inatumika kwa maslahi ya wananchi ni mwakilishi wa wananchi ambapo ni mbunge/diwani. swali lingine

wewe huna akili kabisa, kwa obwe hili la uongozi uliopo tanzania? atasimamia vipi wakati kila akifanya mikutano, polisi wanamvamia na mahakanani wanamsubiri?
 
'anayekusanya kodi ni serikali, lakini anayehakikisha kodi inatumika kwa maslahi ya wananchi ni mwakilishi wa wananchi ambapo ni mbunge/diwani. swali lingine
Mwanza, Mwanza nyumbani!!! Vipi diwani wa kata ya maeneo husika anasemaje? Na vipi Mbunge anazo hizo taarifa au ni kulaumy bila baadhi ya watu kuwajibika ipasavyo? Na kama analipewa hizo taarifa, vipi feedback yake ilikuwaje/alisemaje? Je wananchi wa maeneo husika wanajitoleaje kuondoa hii kero katika maeneo yao au ndo mnasubiri kila kitu mbunge awafanyie kama kawaida yetu watanzania?
 
mie sikumbana na adha hiyo, kwani niliamka 5:30hrs kuja ofisini, nilipata gari baada ya kutembea hadi kona ya Bwiru, lakini niliona gari mbali za ruti hiyo zikiwa kazini. Taarifa hizi nimezipata toka kwa jamaa yangu aliyechelewa kufika kazini kwa kukosa usafiri hadi aliposhituka na kuchukua pikipiki. Traffic Officers wako eneo hilo, likitokea lolote la msingi nitawajulisha.


'

anayekusanya kodi ni serikali, lakini anayehakikisha kodi inatumika kwa maslahi ya wananchi ni mwakilishi wa wananchi ambapo ni mbunge/diwani. swali lingine

Ntamaholo - Kumbe uko Mwanza? Kama mwananchi mpenda maendeleo wa Mwanza umeshawasiliana na Mbunge mhusika moja kwa moja? au unalalama tu hapa mtandaoni ikiwa ni moja ya njia za ku-decampaign against mbunge? City Council si wako hapo pua na mdomo? Umefikisha malalamiko yako hayo? hao daladala umesikia wamegoma kwa sababu mbunge ameshindwa kuwasilisha kero hiyo au mgomo huo ni namna ya kuungana na mbunge wao kufikisha ujumbe kwa wakusanya kodi na wapanga mafungu?
 
Nina vyomjua Highness tukiacha unafiki wewe ulieeleta post hii una hoja tena ya msingi sana ila inavyoonekana hoja zako unazileta tu jukwaani sidhani kama umeshakwenda ofisini kupeleka hoja hizi na ukasikia anasemaji,sina sababu ya kumtetea naungana na wewe simpendi kiongozi asietekeleza majukumu yake hasa ya kuwahudumia wananchi.Lakini Highness ukienda kumuona atajua kweli wapiga kura wake na wanaoiunga mkono Chadema wanahitaji utendaji uliotofauti na wa kipindi cha nyuma chini ya CCM.sasa hapa inaonekana unategea aharibu kisha ndo mmseme,tulisema sisi,NO nendeni mkamwambie Mh mbunge hiki mbona kiko hivi,najua atawapokea tu ni kijana ambe namfahamu,sema mimi siko mwanza lakini tungewasiliana kisha tukaenda mtafuta.Nendeni mkamwambie msiisiihie tu kwenye jukwaa.pamoja tutajenga
 
mie sikumbana na adha hiyo, kwani niliamka 5:30hrs kuja ofisini, nilipata gari baada ya kutembea hadi kona ya Bwiru, lakini niliona gari mbali za ruti hiyo zikiwa kazini. Taarifa hizi nimezipata toka kwa jamaa yangu aliyechelewa kufika kazini kwa kukosa usafiri hadi aliposhituka na kuchukua pikipiki. Traffic Officers wako eneo hilo, likitokea lolote la msingi nitawajulisha.


sasa wewe upo ofisini au barabalani?
 
wewe huna akili kabisa, kwa obwe hili la uongozi uliopo tanzania? atasimamia vipi wakati kila akifanya mikutano, polisi wanamvamia na mahakanani wanamsubiri?

nashukuru kunipa daraja hilo, siyo mbaya ukijichunguza vizuri. Kwa hiyo aogope? kama kufanya mikutano anaogopa, si atafute kituo kimoja cha redio/tv azungumze na wananchi kupitia media? Viongozi waoga hatuwataki Tanzania. Nadhani kama Lema angekuwa mwoga, CCM wangempa zawadi, lakini kwa kuwa anajua yuko right, na hataki ujanjaujanja, ndo maana kila siku anaandamwa na harudi nyuma mpaka haki ya wana Arusha itakapo patikana
 
sasa wewe upo ofisini au barabalani?

nipo kazini, umeme ulikatika kidogo nikatoka nje kwenda kuangalia pale TANESCO, zinakoanzia route, sikuona gari hata moja la route hiyo. Nimeona gari moja likitokea POLICE, lakini halikuwa na abiria hata mmoja
 
Nina vyomjua Highness tukiacha unafiki wewe ulieeleta post hii una hoja tena ya msingi sana ila inavyoonekana hoja zako unazileta tu jukwaani sidhani kama umeshakwenda ofisini kupeleka hoja hizi na ukasikia anasemaji,sina sababu ya kumtetea naungana na wewe simpendi kiongozi asietekeleza majukumu yake hasa ya kuwahudumia wananchi.Lakini Highness ukienda kumuona atajua kweli wapiga kura wake na wanaoiunga mkono Chadema wanahitaji utendaji uliotofauti na wa kipindi cha nyuma chini ya CCM.sasa hapa inaonekana unategea aharibu kisha ndo mmseme,tulisema sisi,NO nendeni mkamwambie Mh mbunge hiki mbona kiko hivi,najua atawapokea tu ni kijana ambe namfahamu,sema mimi siko mwanza lakini tungewasiliana kisha tukaenda mtafuta.Nendeni mkamwambie msiisiihie tu kwenye jukwaa.pamoja tutajenga

kwa kijana kama highness, naamini lazima anafika JF kuangalia wananchi tunasema nini. Ni vizuri kufika ofisi kwake na kuwaambia, lakini ninaposhindwa namkumbusha wajibu wake kupitia JF. Mbona mara nyingi yanayomhusu Zitto anajitokeza na kujibu? Highness kama haingii humu, kuna watu wake wa karibu wangemshauri aitishe mkutano na kulijadili suala la kipande kile na wananchi wakajulishwa mchawi nani
 
Ntamaholo - Kumbe uko Mwanza? Kama mwananchi mpenda maendeleo wa Mwanza umeshawasiliana na Mbunge mhusika moja kwa moja? au unalalama tu hapa mtandaoni ikiwa ni moja ya njia za ku-decampaign against mbunge? City Council si wako hapo pua na mdomo? Umefikisha malalamiko yako hayo? hao daladala umesikia wamegoma kwa sababu mbunge ameshindwa kuwasilisha kero hiyo au mgomo huo ni namna ya kuungana na mbunge wao kufikisha ujumbe kwa wakusanya kodi na wapanga mafungu?

wamegoma kuepuka uharibifu wa magari yao. Kama mbunge, angekuwa amesha toa tamko baada ya thread ile ya kwanza. Lkini kukaa kimya, hakumjengi kisiasa kwani ukiangalia kwenye ilan yake ya uchaguzi huduma za jamii ilikuwa ni moja ya hoja zake, linapotokea kama hivi, lazima tumshitue kwani wananchi waliomchagua ndio wa kwanza kusema, huyu ndiye tuliyemchagua.

Kama kuna tatizo JIJI, arudi kwa waajiri wake awataarifu kuwa, ukarabati umekwama kwa sababu hizi, awaeleze
 
Mwanza, Mwanza nyumbani!!! Vipi diwani wa kata ya maeneo husika anasemaje? Na vipi Mbunge anazo hizo taarifa au ni kulaumy bila baadhi ya watu kuwajibika ipasavyo? Na kama analipewa hizo taarifa, vipi feedback yake ilikuwaje/alisemaje? Je wananchi wa maeneo husika wanajitoleaje kuondoa hii kero katika maeneo yao au ndo mnasubiri kila kitu mbunge awafanyie kama kawaida yetu watanzania?

kama angekuja kwa wananchi, JF ingejulishwa. mpaka sasa ni kimyaa. sijasikia lolote, labda yawezekana kazi imenikeep busy, alipotoa taarifa yoyote mie sikuipata. Lakini Mwanza wananharakati wengi wangetutarifu JF
 
Tingatinga na greada yameonekana site huenda barabara ikarekebishwa

Site ya wapi? niliona moja tu likifanya usafi kwenye eneola soko kwa musuka, baada ya wafanya biashara kuhamishwa kwenye soko jipya lililojengwa
 
Ntamaholo kwani siku hizi Mh amehama hapo Selemani Nasoro,unakata kushoto pale dukani kwa lema ,kabla hujapandisha kwa Rutalaka?mbona ni kijana ambae ana-approach nzuri kwa watu?au amebadilika?au huna update maana nasikia kuna ma-greda yapo site.kiukweli post yako imeniuma sana maana sipendi kiongozi wa chadema akiangushe chama na spendi apate lawama za kutokusaidia kutatua kero za wananchi,hebu jaribuni kufika ofisini kwake kisha akirespond vibaya au kama hana anachoona yuko concerned tuambizane wadau,ila namwamini ni mtu makini na nashawishika kufanya nae mwasiliano nijue kulikoni.lakini sipendi utendaji kazi wa chaedama ulinganishwe na CCM,kutawafanya wananchi wawe drastically confused,maana hawatkuwa na kimbilio.Ila tujenge utaratibu wa kuzitumia ofisi hizi za bunge na za madiwani na ikibidi kila hoja inapopelekwa ina kuwa officiated au tunai-document,na mwisho wa siku tupate record ya kile tulichofanikiwa na kile ambacho hatufanikiwa na tuki-identify sababu za kushindwa kwa jambo fulani,na pale juhudi za viongozi wetu hasa wa-chadema wanapokuwa wanakwamishwa na watu wa serikali tushikamane kuwaunga mkono kwa hali na mali,ila nao wabunge wetu na madiwani watupe mrejesho wa kila jambo ili tuweze kwenda swa,muhimu kuwe na mawsiliano ya karibu sana baina ya wapiga kura na waliopigiwa kura hasa kwenye masuala yanahusu umma.
 
Ntamaholo kwani siku hizi Mh amehama hapo Selemani Nasoro,unakata kushoto pale dukani kwa lema ,kabla hujapandisha kwa Rutalaka?mbona ni kijana ambae ana-approach nzuri kwa watu?au amebadilika?au huna update maana nasikia kuna ma-greda yapo site.kiukweli post yako imeniuma sana maana sipendi kiongozi wa chadema akiangushe chama na spendi apate lawama za kutokusaidia kutatua kero za wananchi,hebu jaribuni kufika ofisini kwake kisha akirespond vibaya au kama hana anachoona yuko concerned tuambizane wadau,ila namwamini ni mtu makini na nashawishika kufanya nae mwasiliano nijue kulikoni.lakini sipendi utendaji kazi wa chaedama ulinganishwe na CCM,kutawafanya wananchi wawe drastically confused,maana hawatkuwa na kimbilio.Ila tujenge utaratibu wa kuzitumia ofisi hizi za bunge na za madiwani na ikibidi kila hoja inapopelekwa ina kuwa officiated au tunai-document,na mwisho wa siku tupate record ya kile tulichofanikiwa na kile ambacho hatufanikiwa na tuki-identify sababu za kushindwa kwa jambo fulani,na pale juhudi za viongozi wetu hasa wa-chadema wanapokuwa wanakwamishwa na watu wa serikali tushikamane kuwaunga mkono kwa hali na mali,ila nao wabunge wetu na madiwani watupe mrejesho wa kila jambo ili tuweze kwenda swa,muhimu kuwe na mawsiliano ya karibu sana baina ya wapiga kura na waliopigiwa kura hasa kwenye masuala yanahusu umma.

Pale kwa Lema alikuwepo wakati wa kampeni, kwa sasa nasikia yuko Pasiansi. in case of anything I will let you know
 
Back
Top Bottom