kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
Ninacokijua ni kuwa mwandosya na JK walikorofishana kipindi ambacho walikuwa wanahudumu wizara ya maji kwa pamoja,kipindi hicho JK alikuwa ni waziri mwenye dhamana na Mwandosya alikuwa akihudumu kama Katibu mkuu wa wizara,seke seke ilikuwa pale ambapo Mwandosya alikuwa 'hakubali' kuongozwa na asiye na elimu tena dhaifu(ikumbukwe huu udhaifu unaosemwa leo haukuanza hapa,hii ni asili ya JK) .Ndipo siku moja katika kutofautiana kwao Mwandosya alishindwa kuvumilia na kuamua kumzabua makofi JK,NA HAPO NDIO ULIKUWA MWANZO WA KUWA PAKA NA CHUI NA SIO KWA SABABU YA USHINDANI WA URAISI KAMA WENGI WAZANIVYO
i heard but am not sure kuwa prof aliwahi kumuambia mkulu enzi hizo"you can be a president but not a professor"