Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Jaman nimesikia kuwa wazili wa maji na umwagiliaji Prof. Mark Mwandosya amemuandikia barua JK ya kuomba kujiuzulu nafasi yake.
Mwenye data kamili atumwagie ukweli wa jambo hili.
Source: Dira ya mtanzania.
Mwenye data kamili atumwagie ukweli wa jambo hili.
Source: Dira ya mtanzania.