Kufuatia kifo cha Mwangosi dk. Lwaitama amesema haiwezakani mwandishi wa habari ukawa in btn . ni either unakuwa kny kusimamia haki au kwny ukandamizaji na si vinginevyo.Amedai kuwa waandishi wa wa kweli ni ktk Mwanahalisi na marehemu Mwangosi ambao wameonekana kutaka kusimamia ukweli tofauti na wanafiki wengine km akina Neville, Msacky na wengine.