Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 15,822
- 37,810
🤣🤣🤣Mbona nyie mkishatongozwa dkk 2 nyingi tayar mama ako anaumwa sn na Kodi imeisha n.k
🤣🤣🤣Mbona nyie mkishatongozwa dkk 2 nyingi tayar mama ako anaumwa sn na Kodi imeisha n.k
Umenikumbusha wiki tatu zilizopita. Alinipa namba yake nami nikampatia yangu. Baada ya muda kama saa moja nikakuta sms ikisema. “ Samahani naomba unisaidie shilingi 20,000, nimpeleke mama hospital BP imepanda na hapa sina pesa nitakurudishia mwishoni mwa mwezi. Nakushukuru kwa msaada wako kama utanijali”Na nyie mnachukua miezi mingapi kuanza kuwa wakoma(ombaomba)...? Maana mwanamke wa kibongo akitongozwa siku anayokubali ndio kwenye kitabu chake anaandika kama ndio siku ameanza ajira...!! Samahani lakini mtoa mada kwa shambulio
Sasa wee unaitwa ombeni unategemea nn🤣🤣🤣Umenikumbusha wiki tatu zilizopita. Alinipa namba yake nami nikampatia yangu. Baada ya muda kama saa moja nikakuta sms ikisema. “ Samahani naomba unisaidie shilingi 20,000, nimpeleke mama hospital BP imepanda na hapa sina pesa nitakurudishia mwishoni mwa mwezi. Nakushukuru kwa msaada wako kama utanijali”
Basi mwenyewe ukaona umemuweeeezaaa... Kwa huo uandishi wako wa MBAKA ujue huyo demu alikukubali tu ili akuambukize UKIMWIMambo nimengi muda mchache .
Wiki kama moja iliopita nimemuelewa slay queen mmoja hivi wa mjini kati nikampa hi akaitikia nikamwambia ukovizur nimekuelewa aka tabasamu skutaka kuongea sana nikamuomba namba akataka kusita ila akaniomba simu nikampa akaandika namba nikasave siku ikapita sikumcheki kesho yake nikamcheki asubuh nikamwambia Nimekumic kukuona njoo home bas bila kusita Mrembo akasema ntakuja jion saa 12.(kiutani)
Imefika saa 12 jion kimya nikajua hapa Hamna kitu nikakausha imefika saa 2 usiku naona text inaingia nipo mitaa ya home kwako sema spajua nilimueleza nakaa sehemu frani sikuamini nikatoka kumfata kweli nikamkuta nikamchukua mbaka home nikamuandalia msosi wanguvu kala tumestay mbaka saa 4 mtoto nika mjalibu leo siunalala kwangu kimasiara mtoto akajibu yeah powa usjali ntaondoka kesho kimoyo moyo nikasema umekwisha maana sikuamini kinachotokea kweli alilala nilimzagamua night balaa asubuh kumekucha fresh aliondoka mida ya saa nne alivonipa taarifa kuwa amefika home hapoapo nikamlamba block ya maana mbaka leo Naendelea na mitikasi yangu kama hakijatokea kitu nahis yeye mwenyew haamini kilichotokea.
Mtoa mada nikwambie tu wewe kama unanipa nipe habar za kukaa miezi miwili hayo mambo ya kiwaki sio unyama wala nini skuiz tupo katika dunia ilioendelea mambo ni fasta fasta yanini kupotezeana muda nakutongoza leo tupeane leo au kesho bas kila mtu aendelee na michakato yake ya maisha
Sasa kwanini ulimblock?Mambo nimengi muda mchache .
Wiki kama moja iliopita nimemuelewa slay queen mmoja hivi wa mjini kati nikampa hi akaitikia nikamwambia ukovizur nimekuelewa aka tabasamu skutaka kuongea sana nikamuomba namba akataka kusita ila akaniomba simu nikampa akaandika namba nikasave siku ikapita sikumcheki kesho yake nikamcheki asubuh nikamwambia Nimekumic kukuona njoo home bas bila kusita Mrembo akasema ntakuja jion saa 12.(kiutani)
Imefika saa 12 jion kimya nikajua hapa Hamna kitu nikakausha imefika saa 2 usiku naona text inaingia nipo mitaa ya home kwako sema spajua nilimueleza nakaa sehemu frani sikuamini nikatoka kumfata kweli nikamkuta nikamchukua mbaka home nikamuandalia msosi wanguvu kala tumestay mbaka saa 4 mtoto nika mjalibu leo siunalala kwangu kimasiara mtoto akajibu yeah powa usjali ntaondoka kesho kimoyo moyo nikasema umekwisha maana sikuamini kinachotokea kweli alilala nilimzagamua night balaa asubuh kumekucha fresh aliondoka mida ya saa nne alivonipa taarifa kuwa amefika home hapoapo nikamlamba block ya maana mbaka leo Naendelea na mitikasi yangu kama hakijatokea kitu nahis yeye mwenyew haamini kilichotokea.
Mtoa mada nikwambie tu wewe kama unanipa nipe habar za kukaa miezi miwili hayo mambo ya kiwaki sio unyama wala nini skuiz tupo katika dunia ilioendelea mambo ni fasta fasta yanini kupotezeana muda nakutongoza leo tupeane leo au kesho bas kila mtu aendelee na michakato yake ya maisha
Hapo unaona umefanya jambo jema kabisa. Wanaume wanaojitambua hawawezi fanya ulichokifanya wewe. Lazima kuna walakini sehem.
Mwanamke anaekuletea mbususu bila mba mba mba tena haraka namna hiyo, huyo ni dhahabu. You need to keep that woman no matter what!!!
Sasa kwanini ulimblock?
Sasa block ya nini mzeya wakati hao ndio wanawake wakuwathamini
Aiseeee huyo dada ni cheapest
Yaani hata iwejee huo ujinga sifanyiii itachukua muda sanaa mpk nivue pichuu
Itakuwa mbususu haikuwa tamuDaah mkuu nibola hata nilivyo muacha aendelee na life yake
KAPIME UKIMWI na MAGONJWA YA ZINAA....nmeandika kwa herufi kubwa na msisitizo.
Itakuwa mbususu haikuwa tamu
Halafu baadaye hao hao wanawake mnaanza kuwatukana kuwa hawafai kuolewa maana wametumika sana hivyo mnataka mabikira, maana anakutana na wanaume wangapi kama wewe ambao kila mmoja anataka amle tu kisha asepe (kwa gia ya kumuoa) sasa huyo mwanamke ataachaje kutumika, anyway endeleeni kuzimaliza hizo bikira na kuzitanua hizo njia uzuri wanawake wa kuoa ndio hao hao mnaowatumia ninyi wengine hawako
Basi mwenyewe ukaona umemuweeeezaaa... Kwa huo uandishi wako wa MBAKA ujue huyo demu alikukubali tu ili akuambukize UKIMWI
Sawasawa kitombiKibaya akanikuta nina zana za kutosha mission yake ikafeli