Aisee kwa hiyo wewe sio rijali??Usilete mila za pwani, wewe ni mtu wa pwani ndio mna mambo ya lijali waambie Wazaramo, wandengeleko, wamakonde wenzio
Punch zipi joshydama?Hatari sana!
Hata sitamina hawezi imba punch kama hizi!
Kwa nini mkuu??teh teh teh no 2 umezngua kinoma kichaa wangu
Umeona mkuu eeh , haiji kabisa mwanaume kumwambia mwenzake mamboSalamu ya "Mambo" akitoa dume huwa nashangaa sana
Nakuongeza kundi la ngabu,rayyoung,ndege johnMwanaume kuwajadili wanaume wenzake kama ww mkuu,
HIZO NI DALILI ZA UPUNGA.
Tafuta kazi ufanye
duuuh huyu huyu tunaemjuaNa wewe mchicha mwiba nini?
Mbona unatetea?
Ukishindwa kujibu nakuunganisha kundi moja na rayyoungr na ngabu
Mkuu, kuvaa cheni shingoni ni ushoga?unamaana gani? Eleza fasta
Akitoa mwanaume kwa mwanaume mwenzie, je akiitoa kwa mwanamke?Salamu ya "Mambo" akitoa dume huwa nashangaa sana
Aisee kwa hiyo wewe sio rijali??
Inamaana na wewe mkuu ni mchicha mwiba??
Yahduuuh huyu huyu tunaemjua
mwanaume anayetembea barabarani huku amemshika mwenzie wa kiume mkono.Inashangaza sana kukuta dume zima linafanya mambo yafuatayo,
Ukiwa miongoni mwa mambo haya basi jua una element za ushogaaa zinakukaribia
1:Mwanaume kusonya, huwa nashangaa sana nikimuona mwanaume mwenzangu anasonya au anaandika mxeuuuuw napata mashaka naye sana
2: Mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzako mambo au kusema "Hi" mwanaume aliyekamilika hawezi akasema " Hi" hii ni salamu ya kike au labda mwanaume kumsalimia mwanamke lakini sio dume kwa dume unakuwa unazingua kichizi
3:mwanaume kuandika maneno kama ,thatha ,thawa ,tyu,poyeee hii ni dalili ya upunga
4: mwanaume kucheka huh huh huh,huu ni uboya uliopitiliza wanaume tunacheka hah hah hah hiyo huh huh huh waachieni akina dada
5:mwanaume kutumia Id ya kike humu JF huko ni kujifunza ushogaaa kwa kuwa utataka ukomenti kikike kike pia utataka kujifunza kutoa majibu ya kike watu wakikufata kukutongoza Pm,
Madhara yake yanakuja pale unapokuwa addicted na koment zako za kike mwisho wa siku utakuwa unakomenti kikike kike hata whatsup na huo ndio mwanzo wa ushogaa sasa
6:mwanaume kuandika" buana" huu pia ni ujinga uliopitiliza
7:mwanaume kutumia maneno kama" nitakuchamba" au " nitakusuta" huu ni ulofa wanaume tunatumia neno "kuchana" na sio hayo mengine
8: mwanaume kutumia emoji ya kukutanisha kidole cha kati na kidole gumba kama wale wa taarabu au wamama wa uswahilini wakipeana makavu pia ni ulofa uliopitiliza
9:mwanaume kuvaa kipuri na cheni ni dalili ya upunga hiyo
10:mwanaume kuandika "uuuuuwi" ni ujinga huo na dalili ya upunga
11: mwanaume kuandika , " nambie my" " mambo vipi wangu"hizi ni dalili za mchicha mwiba hizo
Ukiona wewe unafanya kati ya hayo niliyoyataja badilika haraka la sivyo tutakuhesabia na wewe punga
kwa wanaume halisi wamenielewaKwahiyo kumwambia mtu "Goodnight" ni ushoga?
Sasa mbona hujajibu swali?kwa wanaume halisi wamenielewa