Na kiatu nakuletea hapo..Mkabala na postal Bank njia ya kuelekea Dawasco,
Kulia mwa Morogoro road
Ha ha ha ha Asante sanaHahhaaaa itakuwa ni hapo hapo
Karibu sana
aisee nimependa ! yaan hapa nianze mchakato wa kutafta mfadhiri aninunulie shuka...jaman wana jf maendeleo hayana chama...tuweke uchama pemben tuliingizie Taifa letu fedha za kigeni...hornet nitakufata kwa ajili ya shuka my dear...matamuu!.naomben michango yenyu nipate matandiko
Hahhaaaa
Michango ya humu nimeiogopa umeona mwenzio kaanzishiwa uzi 🤣🤣🤣🤣
Karibu sana mrembo hili shuka ukitandika litatatua matatizo yoooote,
Asubuhi utashangaa mahaba yatakavyoongezeka
Hahhaaaa
Michango ya humu nimeiogopa umeona mwenzio kaanzishiwa uzi 🤣🤣🤣🤣
Karibu sana mrembo hili shuka ukitandika litatatua matatizo yoooote,
Asubuhi utashangaa mahaba yatakavyoongezeka
Hizo suruali kama utaleta size 46-48 tuambieWapendwa wanaJf najua hizi bidhaa hata mtaani zipo!
Ila niungisheni kila bidhaa itakuwa na bonus ya leso ya cotton
Bidhaa zetu zinatoka Uganda,kule wanaleta mzigo genuine tofauti na Kariakoo uchakachuaji umekuwa mwingi!
Delivery ipo kwa wana Daresalama na mikoani pia!
Order leo kwa maendeleo ya Taifa,
Uzalendo kwanza!
Hapa kuna kadeti ambazo zipo rangi zote
Size 30-40
Hazipauki! Guarantee Miaka 5
View attachment 979403View attachment 979405
Bei yake ni 35,000 na nyingine 40,000/=
TISHETI
Hapa kuna kola za duara bei ni 25,000/=
Zile za form six bei ni 25,000-30,000/=
View attachment 979406View attachment 979408
Pia kuna viatu ambavyo bei ni 120,000/=
Kama hivi hapa
View attachment 979409View attachment 979410View attachment 979411
Shuka size kubwa ya mwisho bei ni 75,000\= shuka mbili na bonus ya foronya nne
View attachment 979413View attachment 979415
Mahali ni Kimara mwisho
Mawasiliano;0755155782
Karibuni sana!
Baba la baba RRONDO Mshanajr manengelo Shunie Mzigua90 BAK Elli merengo90 Ngoda95 @ormeta
Mzee wa kutupia Deo
Na wengine woote karibuni tujenge taifa.
Uanze mwaka mpya na mambo mapya
Khaaaaaa hapana bwana
Rudi nyumbani kumenoga ndiyo neno la leo
Kwa jirani kunanuka
Badilisha mapishi walau 2019 iwe mtelezo
Huko kwingine waachie wengine....
Nisiongee sana nikakosa hela
Roughly viatu vinaanzia sh. ngapi???Karibu sana Kiongozi,
Ukiwa unakuja unaweza kuniandikia kwenye namba yangu nikakupa maelekezo zaidi
Asante
Hahahahaaa, mkuu nataka nimuumbe hypothetically alafu nifanye kazihhahahaahaha, unataka kuupigia NYETO? hahahahahaahahahah
Hahahahaaa, mkuu nacheza na FursaMzee Kidudu umenichekesha sana..
Nikaja kucheck jina na avatar yako,nikacheka mno....!
Wee jamaa ni comedian for real!