Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Tusitawaliwe na itikadi za vyama vyetu vya siasa. Alichokifanya kijana Deo Filikunjombe nakuapieni kwa hapa Tanzania hakunaga kama yeye!!!
 
ww kama nan? Ukitaka hata ww piga kura hata kwa majina saba na yote yatahesabiwa kuwa ni kura na kila jina lililotajwa litahesabiwa kura maana si ndio unaowakubali.

Sasa mbona unaongea kwa ukakali? Mimi ni mjumbe kutoka NEC.
 
Godbless Lema... We angalia hata matukio na viakao anavyohudhuria jinsi vijana wanavyomkubali..
 
Kwanini mwaka mpya wa serikali tupigie kura mwanasiasa bora, wakati watendaji wa serikali sio wanasiasa?

Kwanini tusipie kura katibu mkuu bora au mkurugenzi bora?

Hatuhangaiki na hao Mchwa sisi...., Labda kama tuseme katibu mkuu yupi ni Mchwa /mwizi zaidi...
 
Godbless Lema..Huyu bwana ni jembe ingawa hata JK kwenye hotuba yake ameonyesha alishiriki kuhujumu haki yake.Ila anastahii kwa kuwa imeonekana Serikali kwa ujumla hawaitaji mtu kama huyu mwenye kujenga hoja zinazosema CCM na vibaraka wake.
 
No mi napingana na wewe...
Kila mtu anapomtaja mtu wake ukae ukijuwa ana kitu alichokiona kwa huyo alomtaja.
So unapoweka vikwazo na kusema mtu aliyemtaja Le Mutuz Le Baharia Le Big Show kuwa anakuharibia siku hayo yanakuwa ni makosa.
Kuwa na Demokrasia mkuu.
Huo unaouleta ni udikteta.

Aliyemtaja William Malecela ana haki kama wewe uliyemtaja JJ Mnyika.
Ingawa ndioo wote tunajuwa kama Willie ni saa iliokosa mshale wa Dakika lakini kama kuna mtu kamtaja basi na aheshimiwe
Mweh, kuzunguka koote huku kumbe lengo ni 'kumuua' zaidi Le Muttuz!
 
Mwaka mpya wa Serikali unaanza Julai Mosi sio Juni. ....Anyway!, Mwanasiasa Bora kijana kwa kipindi kilichopita ni DAVID KAFULILA
 
Stephen WASIRA (HUYU AMEKUWA KIJANA KWA MUDA MREFU SANA, SIDHANI KAMA KUNA KIJANA MWINGINE MACHACHARI ZAIDI YAKE)
 
Leo ni tarh 2/6/2012, na kwa serkali ni mwaka mpya 2013.
Naomba upige kura yako kwa kutaja jina la mwanasiasa kijana ambaye ni bora ktk kipindi hiki cha miez 6 (nusu mwaka) mpaka sasa.

Karibu kwa kura maana kura yako itamotivate viongozi kutekeleza majukumu yao na itatoa tathmini ya jinsi wanavyokubalika ktk jamii mpaka sasa.

zitto is the best.
 
Back
Top Bottom