Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
My youngest son is 10 m.o,miezi miwili sasa anasumbuliwa na vipele sehem za makalio, vidogovidogo sana - kama ukurutu vile! Vinamuwasha sana, hasa wakati wa usiku-anajiuna mpaka usingizi unapompitia, na akishtuka tena analia na kujikuna. Tumeenda hospial mara kadhaa, kila tukipewa dozi akimaliza tatizo haliishi (three times, different med!!). Kuna dawa ya kupaka ambayo tulishauriwa na dr tuwe tunampaka sambamba na dawa za kumeza: dawa hizi zinamsaidia sana kuondoa vipele, lakini dozi ikiisha tusipompaka hali inarudi vilevile, im worried! Wakuu, hii inaweza kuwa nini? Wataalamu ushauri tafadhali!
Afya yake iko poa sana tu, tatizo anapoanza kuwashwa tu: amani yake na yetu sisi wazazi inakwisha kabisaa!!!
Heelp!
Afya yake iko poa sana tu, tatizo anapoanza kuwashwa tu: amani yake na yetu sisi wazazi inakwisha kabisaa!!!
Heelp!