Jamani wanajamii ninarafiki yangu mpanzi alikuwa ananisimulia story yake:
Rafiki: Mama Kubwa mwnzio ninapoanza mazoezi huwa nakimbia mwendo mdogo mdogo na katika mazoezi hayo kuna mahali nikifika nakuta kimlima kikali sana nikifika hapo huwa naongeza speed hadi 120.......kadiri ninavyokimbia najiikuta natumia zaidi vidole kukanyaga....ninapofika kileleni na realise kuwa nimeachama kutafuta hewa nyingi iingie kwenye mapafu yangu.....
Mama Kubwa: ???????????????????????????????????
Try to be open, ume2mia lugha ya picha sehemu nyingi n then neno kileleni limezoeleka pachika msemo mwingne hat stendi, kichuguuni, au hata ki2oni au mwisho wa safari..
umeanza kwa kasi kweli mama big. Siku moja thread 3!:doh::doh::doh:
Umeanza kwa kasi kweli mama Big. Siku moja Thread 3!:doh::doh::doh:
babuzzzzzz itabidi urudi kundini ulijifanya uko inviz mod
Jamani wanajamii ninarafiki yangu mpanzi alikuwa ananisimulia story yake:
Rafiki: Mama Kubwa mwnzio ninapoanza mazoezi huwa nakimbia mwendo mdogo mdogo na katika mazoezi hayo kuna mahali nikifika nakuta kimlima kikali sana nikifika hapo huwa naongeza speed hadi 120.......kadiri ninavyokimbia najiikuta natumia zaidi vidole kukanyaga....ninapofika kileleni na realise kuwa nimeachama kutafuta hewa nyingi iingie kwenye mapafu yangu.....
Mama Kubwa: ???????????????????????????????????
Yaaani mama Big kaingia kwa style ya Da Sophy and DDD
Umeanza kwa kasi kweli mama Big. Siku moja Thread 3!:doh::doh::doh:
Mmmmmh haya mama big!Nimeanza na kasi zaidi nguvu zaidi na ari zaidi......hasa pale nitakapokaribia kileleni ndio itakuwa 360/hr
Nimeanza na kasi zaidi nguvu zaidi na ari zaidi......hasa pale nitakapokaribia kileleni ndio itakuwa 360/hr
Au ndio hao wamerudi kwa ID mpya maana hapa JF napo hapaishiwi vituko.Yaaani mama Big kaingia kwa style ya Da Sophy and DDD
Naona anachakachua kwa kasi kweli kweli
.........kiseme! Mods wapo bize na matokeo ya uchaguzi huku hawachungulii kwa sana...lol!!!Kuna kitu nataka nikiseme ila najua nikisema tu mods watanitembezea BAN
Au ndio hao wamerudi kwa ID mpya maana hapa JF napo hapaishiwi vituko.
.............labda anaogopa BAN akiwa open zaidi.Try to be open, ume2mia lugha ya picha sehemu nyingi n then neno kileleni limezoeleka pachika msemo mwingne hat stendi, kichuguuni, au hata ki2oni au mwisho wa safari..
Ahahahahahahhhhhhaah usiogope mama big hao ni members wazuri wa hii forum na hasa jukwaa hili!!!!Jamani mi nataka kujua kama na nyinyi huwa mnaachama pale mfikapo........
Style ya Da Sophy na DDD ni ipi tena? hebu nijuzeni mie